Karia apita bila kupingwa, mmeelewa nilichoandika sasa

Karia apita bila kupingwa, mmeelewa nilichoandika sasa

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
NILICHOANDIKA Kabla ya uchaguzi na nini kinaenda kutokea uchaguzi wa TFF ndicho kimefanyika.

Nilisema watapitishwa kadhaaa mwisho mtasikia ama wamejitoa /ama waliopita nae hawana vigezo ndicho kimetokea.

Nitarudi baadae.

Rais mteule TFF HONGERA
 
Hakuna figisu iliyofanyika.

Mbona wote walioenguliwa wamekubaliana na matokeo?. Kanuni ndio zimewaangusha.

Mfano Mayai kapeleka copi ya vyeti bila kugongwa muhuri wa Mahakama. Pia hao wengine wote hawakuwahi kuwa viongozi wa Vilabu wala uongozi wa Mkoa au wilaya, hivyo kipengele cha uzoefu kimewaangusha.

Kuhusu udhamini wa Mikoa/ Kanda - Karia alidhaminiwa na Kanda 18 tu. Hivyo bado kulikuwa na nafasi ya Mgombea kukubalika kwenye Kanda nyingine lilizokuwa free.
 
Huu ulikuwa ni mkakati uliopangwa kabla na Karia na wapambe wake kwamba hao wawili wangekuja kuenguliwa mwishoni na wasilalamike.

Inaonekana huyu Msomali anatumia njaa ya watu kwa faida yake kwani kuwa hapo TFF ni dili tosha. Mpira wa Tanzania hautakaa ukue kwa sababu hawa wanaojiita viongozi wako kimaslahi zaidi, ni wachumia tumbo tu.
 
Huu ulikuwa ni mkakati uliopangwa kabla na Karia na wapambe wake kwamba hao wawili wangekuja kuenguliwa mwishoni na wasilalamike.

Inaonekana huyu Msomali anatumia njaa ya watu kwa faida yake kwani kuwa hapo TFF ni dili tosha. Mpira wa Tanzania hautakaa ukue kwa sababu hawa wanaojiita viongozi wako kimaslahi zaidi, ni wachumia tumbo tu.
Mpira wa Tanzania umekua sana kuliko kipindi cha yule mtakatisha fedha wa Yanga kampuni.
 
NILICHOANDIKA Kabla ya uchaguzi na nini kinaenda kutokea uchaguzi wa TFF ndicho kimefanyika.

Nilisema watapitishwa kadhaaa mwisho mtasikia ama wamejitoa /ama waliopita nae hawana vigezo ndicho kimetokea.

Nitarudi baadae.

Rais mteule TFF HONGERA
Yatampata yaliyompata mwendazake
 
Umekuwa sana, wamechukua kombe gani.
Hawajachukua kombe lolote ila ligi imeboreka, timu za vijana zimeimarika, ligi yetu kwa sasa ni ya 8 kwa ubora Africa.


Hivi unajua Belgium haijawahi kuchukua kombe lolote lakini miaka miwili nyuma ilikuwa ya kwanza kwa ubora duniani ?
 
Hawajachukua kombe lolote ila ligi imeboreka, timu za vijana zimeimarika, ligi yetu kwa sasa ni ya 8 kwa ubora Africa.


Hivi unajua Belgium haijawahi kuchukua kombe lolote lakini miaka miwili nyuma ilikuwa ya kwanza kwa ubora duniani ?
Sasa kama wamekuwa wa kwanza kwa ubora duniani hilo limewasaidia na nini sasa wakati hakuna kombe la hayo mafanikio.

Kuna mambo mengine ni siasa tu. Kama unasikia siasa michezoni, basi ndo hivyo.
 
Sasa kama wamekuwa wa kwanza kwa ubora duniani hilo limewasaidia na nini sasa wakati hakuna kombe la hayo mafanikio.

Kuna mambo mengine ni siasa tu. Kama unasikia siasa michezoni, basi ndo hivyo.
Kwajibu lako hili hoja yako ni ipi sasa ?

Hawajafanikiwa au wamefanikiwa ?
 
Bora karia kuliko huyo matembele na wachambuzi uchwara
 
Back
Top Bottom