Karia asiruhusiwe kusafiri na Yanga, ndiye adui namba moja wa Yanga

Karia asiruhusiwe kusafiri na Yanga, ndiye adui namba moja wa Yanga

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Huyu jamaa ni snitch mkubwa na muhujumu na adui namba moja wa Yanga.

Nashauri Yanga iachane na maafisa wote kutoka TFF, BMT na wizarani.

Wekezeni kwenye watu wa sakolojia benchi la ufundi tu !!!

Karia ni adui namba moja wa Yanga
 
Unaidharidisha picha ya Baba WA Taifa.

Katika WATU waliokuwa na ushawishi na uwezo wa KUJENGA hoja ni Mwalimu Nyerere.

Sasa unapicha ya Mwalimu Nyerere.
Mwanachama no 1 WA Yanga.
Alafu unaongea Maandazi.

Hivi mmelogwa au kweli wenye akili ni wawili tu????...
 
Huyu jamaa ni snitch mkubwa na muhujumu na adui namba moja wa Yanga.

Nashauri Yanga iachane na maafisa wote kutoka TFF, BMT na wizarani.

Wekezeni kwenye watu wa sakolojia benchi la ufundi tu !!!

Karia ni adui namba moja wa Yanga
Usiwe na akili ya Bata bila karia hao yanga hawezi kutambulika,caf inamtambua karia na karia anaitambua yanga ,yanga sio mwanachama wa caf ,tff ndio mwanachama wa caf .Kula apple nanasi na avocado utaongeza akili.
 
Nature ya mashabiki wa YANGA ni kulalamika lalamika kama wajane huku nature ya mashabiki wa simba ni Hasira zakijingakijinga kama mapepo
 
Huyu jamaa ni snitch mkubwa na muhujumu na adui namba moja wa Yanga.

Nashauri Yanga iachane na maafisa wote kutoka TFF, BMT na wizarani.

Wekezeni kwenye watu wa sakolojia benchi la ufundi tu !!!

Karia ni adui namba moja wa Yanga
laana ya kumtukana Lissu itamuandama hadi kaburini
 
Kumbe Karia ndo kawainamisha uto mara mbili uwanjani? mie niliona kama waarabu ndo waligalagaza majitu kama afanyavyo chama, duh! Uto ni makubwa jinga, kwahio sio mvua tena? Hivi kumbe haikua ugumu wa ratiba? Ni ujinga kushabikia uto maana kwa namna mlivyokuwa mnatutambia kabla ya game na minyoo mnayo iongea leo ni ujinga tupu.
 
Nature ya mashabiki wa YANGA ni kulalamika lalamika kama wajane huku nature ya mashabiki wa simba ni Hasira zakijingakijinga kama mapepo
Ila simba hawalalamiki eti 😄😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom