technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Usiwe na akili ya Bata bila karia hao yanga hawezi kutambulika,caf inamtambua karia na karia anaitambua yanga ,yanga sio mwanachama wa caf ,tff ndio mwanachama wa caf .Kula apple nanasi na avocado utaongeza akili.Huyu jamaa ni snitch mkubwa na muhujumu na adui namba moja wa Yanga.
Nashauri Yanga iachane na maafisa wote kutoka TFF, BMT na wizarani.
Wekezeni kwenye watu wa sakolojia benchi la ufundi tu !!!
Karia ni adui namba moja wa Yanga
laana ya kumtukana Lissu itamuandama hadi kaburiniHuyu jamaa ni snitch mkubwa na muhujumu na adui namba moja wa Yanga.
Nashauri Yanga iachane na maafisa wote kutoka TFF, BMT na wizarani.
Wekezeni kwenye watu wa sakolojia benchi la ufundi tu !!!
Karia ni adui namba moja wa Yanga
Mimi na mamakoWENYE AKILI NI WAWILI TU.
Ila simba hawalalamiki eti ππππππNature ya mashabiki wa YANGA ni kulalamika lalamika kama wajane huku nature ya mashabiki wa simba ni Hasira zakijingakijinga kama mapepo