Karia Hujaacha Matusi tu?

Hivi hapa si ni sawa na wale polisi wa Mtwara walivyokataliwa kujichunguza..!! Yaa rais wa TFF, azozane na Manara, halafu kama ya TFF isikilize kesi inayomuhusu rais wao..!!
 
Swali gani bwana wewe? Huyu kwani mara yake ya kwanz kufundisha timu ya taifa
Mara yake ya kwanza 'goli kilikua halijapanuliwa'...stars yake ilikua inaugonga mwingi,nakumbuka Morocco alipasuka 3 kwa mkapa na pira lilipigwa jingi,tulivoenda kwao Cha kwanza ni kumpa red Morris,wakatangulia mbili,tukarudisha moja,goli imara la kiemba..stars ya kwanza ya Kim ilikua moto
 
Wewe watu wanataka ufuzu sio ulicheza vizuri bwana wewe...hizo ni statements za losers....winners wanapiga ball na kombe wanachukua. Huyu hatujafuzu period.
And mind u ethiopia walifuzu not a single player anacheza nje ya nchi yao. Yeye ana msuva samatta himid novatus bado anatuletea zakuleta.
 
Sasa hivi hutaki Tena mpira mzuri!!!!?..ulisema wa Ethiopia anacheza mpira mzuri!!..Kama unataka kufuzu mrudishe amunike
 
Sasa hivi hutaki Tena mpira mzuri!!!!?..ulisema wa Ethiopia anacheza mpira mzuri!!..Kama unataka kufuzu mrudishe amunike
Mpira mzuri na matokeao kaka sasa wee mpira mzuri alafu baadae tunaanza kuna pumbuz huku tunaangalia mpira kwa chupa nani anataka hiyo
 
Sasa awamu ile ndio angelia kuliko awamu hii.
 
Mwambieni huyo anayesema yeye ni mtu wa serikali kuwa hii nchi sio mali ya baba yake.
Aheshimu sheria.
 
Huyo Msomali alitakiwa aiongoze familia yake lakini sio kuongoza watu wanaozidi 50!

Your browser is not able to display this video.


Minziro alikukosea nini ukagoma kumpa mkono?

 
Bado ahajaacha kawakagua mashabiki wa Yanga akakuta wananuka wananuka mavi.
 
Kupotea makombe mwaka wa kwanza tu,chuki za wazi wazi ,mjiandae kufa kwa pressure mwaka huu na mingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…