Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
- #21
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni. Chini ya uongozi wa Karia kuna mabadiliko tumeyaona hata nidhamu ya matumizi ya fedha pia ipo ukilinganisha na awamu zilizopita.Karia hana jipya, hata hayo mafanikio ya kutupeleka Afcon anayojisifia, ni kama Uganda walitubeba ile game, na ushahidi wa kuwa hatukuwa na timu bora ni vichapo tulivyopokea kule,
Na kuhusu ubora wa ligi yetu kama nilivyomsikia anajitapa, wa kusifiwa ni Azam kwa kuibrand na kuitangaza ligi na Mo na GSM kwa uwekezaji na siyo TFF.
Karia hana jipya, ni style ya uongozi ile ile ya kina Ndolanga na Malinzi, fungia fungia style, ukionekana unakosoa unapigwa ban maisha[emoji706]
Hizo ndio hatua za awali kuanza kupiga hatua mbele kwa kushiriki Afcon...