witzone2 JF-Expert Member Joined Jan 14, 2022 Posts 797 Reaction score 1,739 Aug 12, 2022 #21 Dabil said: Katika marais wa awamu zote Karia ndo Rais aliyeleta maendeleo kwenye mpira pamoja na madhaifu yake. Mikataba na Azam media Mikataba na TBC Mkataba wa gharama na NBC Vilabu kufaidika kutokana na msimamo kwenye table ya ligi inapoisha Click to expand... Hivi Tanzania imepanda kiwango Cha mpira kwa rank za FIFA tuko wa ngapi now? Nauliza tu ili tujue Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Dabil said: Katika marais wa awamu zote Karia ndo Rais aliyeleta maendeleo kwenye mpira pamoja na madhaifu yake. Mikataba na Azam media Mikataba na TBC Mkataba wa gharama na NBC Vilabu kufaidika kutokana na msimamo kwenye table ya ligi inapoisha Click to expand... Hivi Tanzania imepanda kiwango Cha mpira kwa rank za FIFA tuko wa ngapi now? Nauliza tu ili tujue Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Aug 12, 2022 #22 Dabil said: Katika marais wa awamu zote Karia ndo Rais aliyeleta maendeleo kwenye mpira pamoja na madhaifu yake. Mikataba na Azam media Mikataba na TBC Mkataba wa gharama na NBC Vilabu kufaidika kutokana na msimamo kwenye table ya ligi inapoisha Click to expand... Kima wa pori la Utopolo watakataa
Dabil said: Katika marais wa awamu zote Karia ndo Rais aliyeleta maendeleo kwenye mpira pamoja na madhaifu yake. Mikataba na Azam media Mikataba na TBC Mkataba wa gharama na NBC Vilabu kufaidika kutokana na msimamo kwenye table ya ligi inapoisha Click to expand... Kima wa pori la Utopolo watakataa
Agrey998 JF-Expert Member Joined Jul 8, 2019 Posts 417 Reaction score 550 Aug 12, 2022 #23 Na ndio rais Mjinga zaidi