Karia, TFF, CAF wamfanyia fitna Crispin Ngushi akatwa jina caf

Karia, TFF, CAF wamfanyia fitna Crispin Ngushi akatwa jina caf

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ni uleule muendelezo wa vita kati ya karia na yanga sc kwa kutumia ukaribu wake na Motsepe ameagiza Ngushi akatwe jina lake
wana yanga amkeni nyie, mnaonewa sana.

ngushi.JPG
 
Ni uleule muendelezo wa vita kati ya karia na yanga sc kwa kutumia ukaribu wake na Motsepe ameagiza Ngushi akatwe jina lake
wana yanga amkeni nyie, mnaonewa sana
View attachment 2347659
Wakati fulani ni busara pia ukiamua kuacha kumkimbiza mwendawazimu aliyechukua nguo zako mtoni wakati unaoga.

Maana ukimkimbiza, wewe ndiye utakaye onekana mwendawazimu. Ufupi huyo Karia ni mtoto mdogo sana kwa Club kubwa Afrika ya Mashariki na Kati, kama Yanga.
 
Kwa picha hii ni kwamba caf wanatambua usajiri wa Tuisila.
agh wapi juzi usiku siku 3 zilizopita CAF wametoa ule utaratibu wa covid 19 ulionufaisha simba na kina jr lokosa ili kisila asicheze, karia kapeleka fitna kwa motsepe, wanaiogopa yanga na kisinda vibaya mno
 
Back
Top Bottom