mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Na wewe una amini kuwa TFF wanna nguvu ya kuiambia CAF mchezaji fulani mkate?
Au ndo Kama manara alivyosema yanga nzima wenye akili baba yake na kikwete.
Mana hata yeye HAJI MANARA AKILI HANA.tangu ahamie utopoloni
Au ndo Kama manara alivyosema yanga nzima wenye akili baba yake na kikwete.
Mana hata yeye HAJI MANARA AKILI HANA.tangu ahamie utopoloni
Tetea hoja kwa maelezo sahihi au ndiyo kuthibitisha kauli ya ADEN RAGE kuwa mashabiki wote wa MAKOLOKOLO FC ni MBUMBUMBU?