njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hadi ngushi maskini, dah , inabidi kuingia barabarani sasa, hadi CAf wamemambukizwa chuki dhidi ya yangaItajurikana tu, Yanga ni kubwa kuliko Karia.
nashangaa wako kimya hadi sasa, waitishe maandamano harakaYanga waandamane kwenda kumuona mama
Tetea hoja kwa maelezo sahihi au ndiyo kuthibitisha kauli ya ADEN RAGE kuwa mashabiki wote wa MAKOLOKOLO FC ni MBUMBUMBU?Timu ya Malalamiko
Ndio maana FIFA, waliliona hili mapema, kuwa ukiruhusu tu wanasiasa waingilie mpira, hautachezeka.Hivyo hata mama hawezi kuwa na msaada.Yanga waandamane kwenda kumuona mama
Wakati fulani ni busara pia ukiamua kuacha kumkimbiza mwendawazimu aliyechukua nguo zako mtoni wakati unaoga.Ni uleule muendelezo wa vita kati ya karia na yanga sc kwa kutumia ukaribu wake na Motsepe ameagiza Ngushi akatwe jina lake
wana yanga amkeni nyie, mnaonewa sana
View attachment 2347659
Aah wapi? Labda Tandale center.Itajulikana tu, Yanga ni kubwa kuliko Karia.
agh wapi juzi usiku siku 3 zilizopita CAF wametoa ule utaratibu wa covid 19 ulionufaisha simba na kina jr lokosa ili kisila asicheze, karia kapeleka fitna kwa motsepe, wanaiogopa yanga na kisinda vibaya mnoKwa picha hii ni kwamba caf wanatambua usajiri wa Tuisila.
Mmh tupe ushahidi tusije kuua mtu bila ushahidi mkuuNi uleule muendelezo wa vita kati ya karia na yanga sc kwa kutumia ukaribu wake na Motsepe ameagiza Ngushi akatwe jina lake
wana yanga amkeni nyie, mnaonewa sana.
View attachment 2347659