Karia utajuta kama CCM-DSM, Manara si wa mchezo mchezo

Karia utajuta kama CCM-DSM, Manara si wa mchezo mchezo

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Picha linaanza jana habari zilitoka kwamba fainali ya super cup kati ya berkane na wydad itafanyika dar es salaam lakini baada ya CAF kupata habari kwamba kipenzi cha wapenda soka afrika kinataka kufungiwa na Karia wakageuza kibao sasa mechi hiyo itapigwa moroko

Hilo ni onyo ukimgusa tu gwiji hilo lenye degree 2 za south africa na china umekwisha,Motsepe atahamisha hata huo mkutano wa CAf unaotakiwa kufanyika Arusha

Kwanza waliokuwa pale karibu wanasema mlikuwa mnabishana kama Ronaldo abaki man utd au aende zake ,ole wako umguse genius wa soka la bongo , wananchi watashuka na wewe jumlajumla kawapa makombe baada ya miaka 4 na sasa anaenda kuwapa la Africa halafu unataka wewe umsimamishe?

Si uliona kwenye clip mwanasheria wa yanga alikuwa anampigia makofi ? kisheria wanajua huwafanyi lolote,THUBUUTU UONE

Gwiji HILI...... CCM DSM walilitibua wakalisingizia kwamba lilikodisha magari ya kutosha likafoji kadi na kuuza kisha likaenda kula bata dubai

Gwiji kwa kudra ya mwenyezi Mungu Allah likashinda kesi na ccm dsm walipata sana shida uchaguzi wa 2015 kutoka kwa ukawa hadi wakalikumbuka gwiji kwamba kama bado lingekuwa katibu mwenezi wapinzani wasingefanya kitu

Mo dewji, Barbra,january makamba, prisac kishamba, kitenge, jemedari,dauda ,malinzi wote hawa waliingia anga za gwiji wakapigwa knockout kali , shauri zako Motsepe anakuchora tu jinsi unavyomsumbua gwiji wa soka barani afrika mwenye baraka za ALLAH

NARUDI TENA OLE WAKO KARIA UMFUNGIE GWIJI SANASANA LIPIGE FAINI TU GWIJI BADO LINA MISSION YA KULETA KOMBE LA AFRIKA



2.JPG
1.JPG
 
Haji Manara,,Kitwana Manara,,Sunday Manara,sijui ndo ivo au nimekosea watoto wa buguruni Malapa!!!
 
Sasa anamletea jeuri mtu aliyemfungulia njia huyo nguruwe pori si alifungiwa bila karia na yeye si angekuwa kama malinzi tu.
 
Sasa anamletea jeuri mtu aliyemfungulia njia huyo nguruwe pori si alifungiwa bila karia na yeye si angekuwa kama malinzi tu.
Motsepe ataondoa mkutano arusha kama Gwiji akifungiwa, jana tu katengua maamuzi ya kuleta fainali ya super cup dar es salaam baada ya kusikia gwiji limefikishwa kamati ya maadili,karia huko alipo anajuuta kugombana na gwiji la oka
 
Ama kwel utopolo hakuna mwenye akili
Motsepe ataondoa mkutano arusha kama Gwiji akifungiwa, jana tu katengua maamuzi ya kuleta fainali ya super cup dar es salaam baada ya kusikia gwiji limefikishwa kamati ya maadili,karia huko alipo anajuuta kugombana na gwiji la oka
 
Picha linaanza jana habari zilitoka kwamba fainali ya super cup kati ya berkane na wydad itafanyika dar es salaam lakini baada ya CAF kupata habari kwamba kipenzi cha wapenda soka afrika kinataka kufungiwa na Karia wakageuza kibao sasa mechi hiyo itapigwa moroko

Hilo ni onyo ukimgusa tu gwiji hilo lenye degree 2 za south africa na china umekwisha,Motsepe atahamisha hata huo mkutano wa CAf unaotakiwa kufanyika Arusha

Kwanza waliokuwa pale karibu wanasema mlikuwa mnabishana kama Ronaldo abaki man utd au aende zake ,ole wako umguse genius wa soka la bongo , wananchi watashuka na wewe jumlajumla kawapa makombe baada ya miaka 4 na sasa anaenda kuwapa la Africa halafu unataka wewe umsimamishe?

Si uliona kwenye clip mwanasheria wa yanga alikuwa anampigia makofi ? kisheria wanajua huwafanyi lolote,THUBUUTU UONE

Gwiji HILI...... CCM DSM walilitibua wakalisingizia kwamba lilikodisha magari ya kutosha likafoji kadi na kuuza kisha likaenda kula bata dubai

Gwiji kwa kudra ya mwenyezi Mungu Allah likashinda kesi na ccm dsm walipata sana shida uchaguzi wa 2015 kutoka kwa ukawa hadi wakalikumbuka gwiji kwamba kama bado lingekuwa katibu mwenezi wapinzani wasingefanya kitu

Mo dewji, Barbra,january makamba, prisac kishamba, kitenge, jemedari,dauda ,malinzi wote hawa waliingia anga za gwiji wakapigwa knockout kali , shauri zako Motsepe anakuchora tu jinsi unavyomsumbua gwiji wa soka barani afrika mwenye baraka za ALLAH

NARUDI TENA OLE WAKO KARIA UMFUNGIE GWIJI SANASANA LIPIGE FAINI TU GWIJI BADO LINA MISSION YA KULETA KOMBE LA AFRIKA



View attachment 2280608View attachment 2280609
Asee Manara we ni chizi
 
We jamaa unatuona sisi wajinga ...
Hizi stori peleka kwenye vijiwe vya kahawa
Yan game ya Caf isichezwe kwa mkapa kisa Manara ... Shame on you ...
Ama kweli Yanga hakuna mtu mwenye akili
 
We jamaa unatuona sisi wajinga ...
Hizi stori peleka kwenye vijiwe vya kahawa
Yan game ya Caf isichezwe kwa mkapa kisa Manara ... Shame on you ...
Ama kweli Yanga hakuna mtu mwenye akili
Siyo utopolo huyo. Hujamwelewa alichokilenga
 
Manara kumbe na huku upo[emoji3][emoji16][emoji16]
 
We jamaa unatuona sisi wajinga ...
Hizi stori peleka kwenye vijiwe vya kahawa
Yan game ya Caf isichezwe kwa mkapa kisa Manara ... Shame on you ...
Ama kweli Yanga hakuna mtu mwenye akili
karia alipo anajuta we unapiga domo hapa na akithubutu kumgusa makubwa zaidi yanakuja, soon Tff wanamuomba msamaha manara
 
Back
Top Bottom