pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Hata ukiwa kwenye nyumba ya peke yako hizo gharama utalipiaYes!
Sababu utahitaji huduma kama ulinzi, ukusanyaji taka (maana huna eneo la kutupa taka unazozalisha kwenye apartment yako), msafisha ngazi na mazigira ya jengo, lift (kwa majengo ya ghorofa 6 na kuendelea).
Kwa maghorofa makubwa (viwanja viwili) na marefu, tozo ya mwezi hutumika sana kwenye umeme wa lift pia jenereta kipindi cha adha ya umeme na hivyo kufanya majengo haya kuwa na gharama sana mpaka kufikia $ 200 kwa mwezi
Hakuna wa kukuzuia kuingia kwako kwa sababu ya kutokulipa tozo ya huduma.Huwezi kunifungia geti langu nisipite ati kwa kuwa sijalipa bill za kuzoa taka, kwenye hayo ma apartment ya maghorofani wanaweza kukuzuia kuingia nyumbani kwako tu kwasababu hujalipa bill za matengenezo ya lift.
Matajiri wengi wanapenda sana apartment za hivyo maana huwezi kumjua maisha yakeAprtments ya ghorofa ni kama kijiji.zile ni kaya nyingi sana zilizopo mahali pamoja.kinakuwa ni kijiji chenye ustarabu flan hiv kwa sababu pako organised maswala ya ulinzi,usafi ,umeme,maji na mambo yoyote ya kijamii.na kuna mtu yuko responsible a kwa kila kaya kulipa ada ya mwezi. Sema tu huwezi kuwa na ile privacy kama unayokuwa nayo ukiwa ktk nyumba yako ya peke yako kwenye fence
Hakun kitu kama hikoHuwezi kunifungia geti langu nisipite ati kwa kuwa sijalipa bill za kuzoa taka, kwenye hayo ma apartment ya maghorofani wanaweza kukuzuia kuingia nyumbani kwako tu kwasababu hujalipa bill za matengenezo ya lift.
Hii bado ipo sokoni?Na punguzo la bei lipo?• Direction: Uhuru Road/China Plaza
• Facilities: 4 bedrooms, 3 washrooms
• Floor Area: 180 sqm
• Document: Title deed
• Price: TSH 150 million
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ Imetazama Uhuru Road
✓ Ipo floor ya 9
✓ Lift yenye inverter ipo
✓ Vyumba viwili self & viwili vya kawaida, public washroom, sebule, jiko na balkoni zenye grili
✓ Ina finishing ya malumalu sakafuni, feni za juu na makabati jikoni
✓ Inauzwa bila samani za ndani (unfurnished)
✓ Hakuna parking ila kuna eneo maalum la parking ya kulipia jirani
.
• In Real Estate We Connect
☎💬 +255767157788
• Jiunge nasi Facebook, Instagram, X na Telegram: BongoLocate View attachment 3096672View attachment 3096673View attachment 3096674View attachment 3096675View attachment 3096676View attachment 3096678View attachment 3096679View attachment 3096680View attachment 3096681
Ipo… punguzo utapata kidogoHii bado ipo sokoni?Na punguzo la bei lipo?
Kama nataka niivunjevunje apartment yangu iliyoko floor ya 9 siitaki tena, je alie juu yangu floor ya 10 ana haki ya kunizuia?Inakuwa yako kwa muda wote mpaka utakapoigawa bure au kwa pesa…
Inategemea na sababu ya kuvunjwa. Wote wanaomiliki apartment kwenye jengo hilo lazima washirikishwe. Kwa mfano ametokea developer anataka kujenga jengo la kisasa zaidi, wenye apartment watapisha, ujenzi ukikamilika watagawiwa apartment zao.
Kama kuna mabadiliko ya matumizi basi wenye apartment watalipwa stahiki zao
Hayo maghorofa hauvunji kama tunavyovunja nyumba za chini. Kila maboresho ya jengo lazima yapate kibali kutoka mamlaka husika za serikali kama TBA, CRB, n.kKama nataka niivunjevunje apartment yangu iliyoko floor ya 9 siitaki tena, je alie juu yangu floor ya 10 ana haki ya kunizuia?
milioni 100000000 ,Kuiona mtajuana na mwenye mali.Naomba majibu haraka. Gharama za mwezi baada ya manunuzi ni kiasi gani?Ipo… punguzo utapata kidogo
Bado lipo eneo nikucheki fastaInakuwa yako kwa muda wote mpaka utakapoigawa bure au kwa pesa…
Inategemea na sababu ya kuvunjwa. Wote wanaomiliki apartment kwenye jengo hilo lazima washirikishwe. Kwa mfano ametokea developer anataka kujenga jengo la kisasa zaidi, wenye apartment watapisha, ujenzi ukikamilika watagawiwa apartment zao.
Kama kuna mabadiliko ya matumizi basi wenye apartment watalipwa stahiki zao
NdiyoBado lipo eneo nikucheki fasta