Kariakoo derby kupigwa Saa 1:15 usiku jumamosi, TFF wamezingatia kweli Usalama wa mashabiki?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Mechi ya watani Simba Vs Yanga itapigwa saa 1:15 usiku kutokana na sababu za mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Mechi ikianza Saa 1:15 maana yake itaisha saa 3:00 usiku

Vipi usalama kwa mashabiki watakaojitokeza na ambao wengine huambatana na familia zao, TFF wamezingatia kweli suala la usalama?
 
cha kuhofia hapa ni nyau maana atapigwa na atang"oa viti

acha mechi ipigwe wakiwa wamekula wapate kuimba gsm anaharibu ligi vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…