Mswalihina na hirizi wapi na wap?Dawa ya Kagere tumeshaitambua! Ni kumvua tu yale mahirizi yake, kwisha habari! Mwenyewe anaomba Sub! Kuna baadhi ya mbumbumbu wanasema eti ile ni rozali, mara msalaba wa Yesu, nk!
Wamesahau Meddie Kagere ni Mswahilina na pia ni mtu wa swala tano kwa siku! Sasa rozali na yeye wapi na wapi!
Mmeshinda goli ngapi kwani? Maana sielewi mnachokishangilia ni nini najua ligi naongoza na naombea mapinduzi tukutane nikushoneHahahaha hilo la manula sisi halituhusu, tunachojua tumemchomeka 2 za mkwezi.
Kumbuka ulivojitapa apa mwanzo braza mkia haha
Tumeshinda 2 nyie 1 refa nae 1Mmeshinda goli ngapi kwani? Maana sielewi mnachokishangilia ni nini najua ligi naongoza na naombea mapinduzi tukutane nikushone
Othman Kazi kasema ile penati ni halali kabisa.Tumeshinda 2 nyie 1 refa nae 1
wachana na sisi.Othman Kazi kasema ile penati ni halali kabisa.
Hivi yule mtu wenu alifata nini uwanjani?
Othman kazi yeye ndo sheria? kwamba atakachosema ndo kifuatwe?Othman Kazi kasema ile penati ni halali kabisa.
Hivi yule mtu wenu alifata nini uwanjani?
Anazijua sheria za mpira kushinda wewe na mimi, uamuzi wa mpira wa miguu ni taaluma yake.
Na kwenye msimamo wa ligi ni wa ngapiTumeshinda 2 nyie 1 refa nae 1
Ndio nami pia ni referee mwenye badge ya FIFA. Uyo kazi ni refa wa timu yenuAnazijua sheria za mpira kushinda wewe na mimi, uamuzi wa mpira wa miguu ni taaluma yake.
Enzi zake akisema ni kona inakuwa kona kweli akisema ni tuta linakuwa tuta kweli.
.
Hadi sasa ni mkufunzi wa waamuzi nchini wewe mwenzangu na mimi ni referee?
Referee mwenye mahaba na side fulani sasa kazi yako huwa unaifanya vipi?ππNdio nami pia ni referee mwenye badge ya FIFA. Uyo kazi ni refa wa timu yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
yanga lazima watafute sababu wakati yule mama anampa Banda red card alikuwa mwamuzi sahihi, wakati tambwe anafunga goli la mkono alikuwa mwamuzi sahihi Yondani ukifatilia mechi za simba na yanga huwa amezoea kucheza ubabe wakati ule anamtemea mate Kwasi halikuwa tatizo kwa kifupi alistahili kadi nyekundu na wachezaji wenzake wakicheza mirafu ya ovyoovyoAnazijua sheria za mpira kushinda wewe na mimi, uamuzi wa mpira wa miguu ni taaluma yake.
Enzi zake akisema ni kona inakuwa kona kweli akisema ni tuta linakuwa tuta kweli.
.
Hadi sasa ni mkufunzi wa waamuzi nchini wewe mwenzangu na mimi ni referee?
Hivi unafikiri kuna refa hapa duniani yupo neutral?Referee mwenye mahaba na side fulani sasa kazi yako huwa unaifanya vipi?[emoji13][emoji13]
Hebu ondoa huu upuuzi, hapo mpira upo wapi sasa?? Na bado upo chini au??
Yes na ni wote wapo neutral wakiwa wanatimiza majukumu yao uwanjani. Nje ya hapo wanajijua wao
Ulinitag vibaya ujue mana hata sikupata notification.Aiseeee siamini kama vyura wametoboa cc shadeeya
ππUlinitag vibaya ujue mana hata sikupata notification.
Hahahahaaa. Vp Mdogo wangu ulikuwa na hali gani muda ule? ππ