Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Aaaah thuuuubutuSimba anaolewa bila shela leo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah thuuuubutuSimba anaolewa bila shela leo....
mkuu jua hii ni derby na wa2 tunafatilia hapa, tutaanguka kwa presha hku. roho mkononi ohoooGoaaaaaaaaaaaaaaaaal
Umeona eeh!!Watu 6 wanamkaba okwi peke ake
Nakuambia mrembo....unisaidie tuu kumpaka mekapAaaah thuuuubutu
ko una maana watu 4 wa simba hawakabwi na wako free ila hawaelewi wanafanya nini uwanjaniWatu 6 wanamkaba okwi peke ake
Kama ulivyoolewa wewe usiku wa kuamkia leoSimba anaolewa bila shela leo....
ApiaaWatu 6 wanamkaba okwi peke ake
hahahaha anapgilia msumari kwamba timu nzima okwi tu ndo anajielewako una maana watu 4 wa simba hawakabwi na wako free ila hawaelewi wanafanya nini uwanjani
Kama kawaidaa wazee wa international sieee....[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe nawe ni shabiki wa wakimataifa eeeh
Kabisa ni jinsi gani wanamuogopa,sio kwa kurundikana ukoUmeona eeh!!
Mpira dk 90 mafuriko fc mnaongea mnoNakuambia mrembo....unisaidie tuu kumpaka mekap