Kariakoo: Dereva amtolea panga mwenzake wakigombea njia

Kariakoo: Dereva amtolea panga mwenzake wakigombea njia

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Watu wanahasira sana, yani jamaa kaamua kumtolea panga mwezie kisa kaingilia njia isiyokuwa yake!
================
Katika hali isiyokuwa ya kawaida madereva wawili eneo la Kariakoo mtaa wa Sikukuu, jijini Dar es Salaam, wamejikuta katika mzozo mkali wakigombea njia, huku mmoja kati yao akichukua panga na kumtishia kumcharanga mwenzake.

 
Alietolewa panga ni mstarabu sana. Hajapanic wala kumsema vibaya aliemtolea panga. Ameeleza uhalisia wa kile kilichojiri kabla ya kutolewa panga, na lawama zake kazielekeza zaidi kwa bodaboda (ambao ndio chanzo cha tatizo) badala ya kubaze zaidi kwa yule aliemtolea panga.
 
Hawa watu wanaodhani wana hasira inatakiwa wapelekwe kwa vichaa zaidi yao.
 
Back
Top Bottom