Kwani mbezi beach na Obay na Masaki kuna nini zaidi ya makazi ya watu!?swala siyo malengo , kuwa Jiji inatokana na mtukufu atakavyoamua , si umeona mwenyewe Chanika na ulongoni pamoja na buguruni kwa Mnyamani ni Jiji lakini Oysterbay , Masaki na Mbezi Beach ni nje ya jiji !
Mbona nipo huko sijakuonaKwa mara ya kwanza leo hii nimefika stendi mpya ya Magufuli, hakika inastahili kubeba heshima ya Jemedari wetu Dr. JPM, nimeshuka tu nilidhani nimefika South Africa! ni nzuri sana na kubwa, ya kisasa!
Movements niliyoiona ni kama vile Kariakoo yote imehamia Mbezi!
Stendi hii imebadilisha kila kitu hapa, abiria ni wengi sana!
Hakika baada ya mwaka mmoja kutakuwa na uwekezaji mkubwa sana maeneo ya mbezi na viunga vyake.
Nadhani ni muda kwa wafanyabiashara wenzangu kuwekeza ktk maeneo haya maaa a abiria wengi haswa wafanyabiashara wanatarajia kupata mahaitaji/bidhaa zote hapa hapa badala ya kwenda K/Koo.
"K/Koo imehamia Mbezi mwisho na viunga vyake".
Fursa ya kufanya biashara kwa sasa iko mbezi.
Tuwekeze Mbezi Mwisho.
Sasa nini hatma ya wasafiri na mali zao! Itabidi serikali ijenge stendi nyingine kwa ajili ya abiria baada ya hii kugeuzwa soko, nashauri na uwanja wa ndege wamachinga wanyonge waruhusiwe kufanya biashara kando ya njia ya kurukia ndege, hii itawawezesha wageni kununua bidhaa wanapoondika nchini.Kwa mara ya kwanza leo hii nimefika stendi mpya ya Magufuli, hakika inastahili kubeba heshima ya Jemedari wetu Dr. JPM, nimeshuka tu nilidhani nimefika South Africa! ni nzuri sana na kubwa, ya kisasa!
Movements niliyoiona ni kama vile Kariakoo yote imehamia Mbezi!
Stendi hii imebadilisha kila kitu hapa, abiria ni wengi sana!
Hakika baada ya mwaka mmoja kutakuwa na uwekezaji mkubwa sana maeneo ya Mbezi na viunga vyake.
Nadhani ni muda kwa wafanyabiashara wenzangu kuwekeza ktk maeneo haya maaa a abiria wengi haswa wafanyabiashara wanatarajia kupata mahaitaji/bidhaa zote hapa hapa badala ya kwenda K/Koo.
"K/Koo imehamia Mbezi mwisho na viunga vyake".
Fursa ya kufanya biashara kwa sasa iko mbezi.
Tuwekeze Mbezi Mwisho.
nimeambiwa kuna vyumba vya biashara vinapangishwa juu kabisa, na pia nimeambiwa kuna shopping malls zitakuwepo juu.Sasa nini hatma ya wasafiri na mali zao! Itabidi serikali ijenge stendi nyingine kwa ajili ya abiria baada ya hii kugeuzwa soko, nashauri na uwanja wa ndege wamachinga wanyonge waruhusiwe kufanya biashara kando ya njia ya kurukia ndege, hii itawawezesha wageni kununua bidhaa wanapoondika nchini.
Unasifia tu hata hujui sewage system iko vipi, haya baki na mav* yako!
Kariakoo bado haijahamia Mbezi.
Mbezi itabakia kuwa Mbezi na Kariakoo itabakia kuwa Kariakoo.Kwanini?
acha kukurupuka maji hayajawahi kupanda mlima kariakoo bado iko kariakoo,halafu huna hata kapicha au upo kwenye ile timu ya kusifu na kuabuduKwa mara ya kwanza leo hii nimefika stendi mpya ya Magufuli, hakika inastahili kubeba heshima ya Jemedari wetu Dr. JPM, nimeshuka tu nilidhani nimefika South Africa! ni nzuri sana na kubwa, ya kisasa!
Movements niliyoiona ni kama vile Kariakoo yote imehamia Mbezi!
Stendi hii imebadilisha kila kitu hapa, abiria ni wengi sana!
Hakika baada ya mwaka mmoja kutakuwa na uwekezaji mkubwa sana maeneo ya Mbezi na viunga vyake.
Nadhani ni muda kwa wafanyabiashara wenzangu kuwekeza ktk maeneo haya maaa a abiria wengi haswa wafanyabiashara wanatarajia kupata mahaitaji/bidhaa zote hapa hapa badala ya kwenda K/Koo.
"K/Koo imehamia Mbezi mwisho na viunga vyake".
Fursa ya kufanya biashara kwa sasa iko mbezi.
Tuwekeze Mbezi Mwisho.
...Zaidi ya Ulaya.. ? Ulaya ya wapi ya kufananisha?Tuliwaambia akina Erythrocyte & Kiranga kwamba in just 5 years Tanzania inakuwa zaidi ya Ulaya, wakawa wabishiii kama walipa-kodi kipindi cha corona.
...Zaidi ya Ulaya.. ? Ulaya ya wapi ya kufananisha?
Mkuu mbona kaelezea kawaida tu kwani lazima unye ukiwa stendi?muwe mnakunya kwenu smetimesUnasifia tu hata hujui sewage system iko vipi, haya baki na mav* yako!
Manispaa ya Ubungo ijiwekee lengo ndani ya miaka 10 nayo iwe imekuwa jiji!