Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kwa ushirikina uliokithiri kariakoo huenda sadaka ya damu imehusika ukizingatia tunaelekea mwisho wa mwaka ,maagano au makubaliano ya kisheitwani lazima yatimie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu kinatokea kwa sababu maalum inahitaji jicho na akili ya ziada kuweza kutegua hicho kitendawili.Yaaan mjenge kiholera msingizie ushirikina?
Kazi kweli,jengo limejengwa mara libomolewe,mara liongezwe kwenda chini.
Acha hizi mambo mkuuKwa ushirikina uliokithiri kariakoo huenda sadaka ya damu imehusika ukizingatia tunaelekea mwisho wa mwaka ,maagano au makubaliano ya kisheitwani lazima yatimie.
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa?Mtu mweusi mjinga kweli,
Ni upuuzi tupuKwa ushirikina uliokithiri kariakoo huenda sadaka ya damu imehusika ukizingatia tunaelekea mwisho wa mwaka ,maagano au makubaliano ya kisheitwani lazima yatimie.
Yaaan mjenge kiholera msingizie ushirikina?
Kazi kweli,jengo limejengwa mara libomolewe,mara liongezwe kwenda chini.
Mwaka unashida gani ndugu, mwisho wa mwaka ndio nini mzee,every day count.Kila kitu kinatokea kwa sababu maalum inahitaji jicho na akili ya ziada kuweza kutegua hicho kitendawili.
Zingatia tupo ukingoni mwa mwaka
Kwenye kutoa kafara huwa kunatafutwa sababu tu kafara ifanyike.We hujasikia kwamba jengo lilikuwa likichimbwa kwa chini kuongeza frem afu sijui umeona vinondo vilivyotumika kujengea afu eti usingizie kafara 😂 , mzigo wa nguo tuu tayari ulikuwa umeelemea jengo