Mitaa hiyo wenye magari wanapata tabu sana kwa kufokewa na wapita njia. Mwenye gari akipita mitaa hiyo ajiandae kisaikolojia.
Kuanzia mtembea kwa miguu, kilema, msukuma mikokoteni, mwenye baiskeli, machinga na wazee wa mingo za parking wooote wote ni matrafiki, waelekezaji, wajuaji na waropokaji!
NDIYO MAANA MAKONDA ALIWAHI KUSEMA ANGEKUWA NA UWEZO ANGETIMUA MACHINGA WOTE
Kuanzia mtembea kwa miguu, kilema, msukuma mikokoteni, mwenye baiskeli, machinga na wazee wa mingo za parking wooote wote ni matrafiki, waelekezaji, wajuaji na waropokaji!
NDIYO MAANA MAKONDA ALIWAHI KUSEMA ANGEKUWA NA UWEZO ANGETIMUA MACHINGA WOTE