Kariakoo na Dar es Salaam: Wanahistoria tendeeni haki Historia za majina hayo

Mkwawa, Kinjikitile, Isike, Mangungo, Mamangi wa kichaga, na wengine wengi katika sehemu kubwa iliyokuja kuwa Tanganyika hawakuwahi kuguswa na dini iliyoletwa na majahazi kutoka uarabuni.
 
Naona mjadala huu umewaacha vinywa wazi wengi.

Hakuna ubishi kwenye niliyowaletea. Eti Kariakoo ni "carrier corps"! Khaaa! hata haileti maana yoyote.

Kariakoo ni Kiarabu. Mji au Kijiji cha wote (Karia kuulu).
 
 
Usijaribu kulazimisha kuinasibisha historia adhimu ya nchi hii na dini yako kilo mara.
Hilo hutoweza kuliepuka hata chembe. Unataka uinasibishe na dini ipi? Ukipenda usipande ndio unalo hilo.

Nini maana ya neno na jina Dar Es Salaam, na linatokea wapi?

Usije kwa kuhororoja, uje na ushahidi kama niliouweka mimi hapo post # 1.
 
Ni sahihi kwa Waislam na wengine wasio na elimu na waliozoea kuburuzwa tu na wao wanaburuzika.

Huyu ni MWONGO na MZUSHI kama tu alivyo Mohamed Said anavyoletaga uzushi kuhusu historia ya Tanzania

Ikulu ilijengwa na Wajerumani.

Kariakoo asili yake ni kiingereza kama inavyofahamika wala si kiarabu

Wanatapatapa ili nao waonekane

Kunguni wahed
 
Umeandika UKWELI Mkuu, hii mada iliyoletwa imejaa uongo na uzushi mtupu, yaani haina chanzo rasmi cha utafiti wala Mantiki

Wallah Wabillah
 
Umeandika UKWELI Mkuu, hii mada iliyoletwa imejaa uongo na uzushi mtupu, yaani haina chanzo rasmi cha utafiti wala Mantiki

Wallah Wabillah
Nilipogundua hilo nikaacha waendelee jinsi wanavyoelewa.
 
Huo mji kiasili ni MZIZIMA nadhani ungepambana jina hilo lirudi sio kufafanu majina ya kikoloni
 
Nilipogundua hilo nikaacha waendelee jinsi wanavyoelewa.
Ilimradi tu waiweke katika mrengo wa Dini

Eti Ikulu ni nyumba ya kiarabu na kiislamu

Nyumba ya kiislamu ikoje???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utafiti hupingwa na utafiti sio kuhororoja na kubwabwaja kama ufanyavyo.

Ulisomeshwa na kujazwa ujinga kuwa Kariakoo ilianza na Mwingereza. Licha ya Mwingereza, hata Mjerumani kaikuta Karia kuu.

Kwenu wapi wewe, au ndio katika wale wasio na asili?
 
Huo mji kiasili ni MZIZIMA nadhani ungepambana jina hilo lirudi sio kufafanu majina ya kikoloni
Hapana. Mzizima ni ilipo sasa Kisutu (Wakuja sikuhizi mnapaita Posta) mpaka bandarini na Ikulu na Upanga Mashariki yote mpaka Ikulu. Ukifika Salendaar Bridge kiasili, unapopita mto Msimbazi wote, pakiitwa Maji Mshindo.

Karia kuu kulikuwa na kijiji kikubwa au / mji mkubwa tayari hata Mjerumani kapakuta mpaka anakuja Muingereza kapakuta, Kikiitwa Karia Kuu, jina ambalo limebaki hadi leo hii. Matamshi tu yamebadilika, Karia Koo.
 
Kumbe hata Biden anaweza kuwa mwarabu!
Ikiwa Malkia wa Uingereza ana asili ya Uarabu itakuwa Biden? Tena jina Biden lina "sound" Kiarabu zaidi.

Ushahidi:

Kulingana na matokeo yao, ukoo wa damu wa Elizabeth II hupitia Earl ya Cambridge katika karne ya 14, kuvuka Uhispania Waislamu wa zamani, hadi Fatima, binti ya Nabii.

Ingawa ilibishaniwa na wanahistoria wengine, rekodi za nasaba za Uhispania za zamani za kati pia zinaunga mkono madai hayo na pia imethibitishwa na Ali Gomaa, mufti mkuu wa zamani wa Misri.

Mkurugenzi wa uchapishaji wa Burke aliandikia Waziri Mkuu wa wakati huo Margaret Thatcher mnamo 1986 akitaka kuongezwa usalama kwa familia ya kifalme.


Chanzo: Historians believe Queen is related to Prophet Muhammad
 
Mkwawa, Kinjikitile, Isike, Mangungo, Mamangi wa kichaga, na wengine wengi katika sehemu kubwa iliyokuja kuwa Tanganyika hawakuwahi kuguswa na dini iliyoletwa na majahazi kutoka uarabuni.
Hapo ndipo usipopaelwa.

Hao wote walijuwa Uislam kabla ya Ukristo.

Uislam haujaletwa bara hili na majahazi. Yesu mwenyewe alikuwa Mwafrika, nae ni Muislam.

Turudi kwenye mada, jina "Kariako" halikutokana na maneno ya Kiingereza kama tunavyodanganywa na kuuona ndio ukweli na sasa tunajidanganya wewnyewe. Neno Kariakoo ni neno la Kiarabu "Qariah" na neno la Kibantu "kuu", likimaanisha, kwa tafsiri nyepesi, kijiji kikuu. Neno "Qariah" kwa Kiarabu hutumika kama, mji au kijiji, inategemea na sentensi. Neno "kuu" nalo unataka tafsiri yake?

Qariah kuu = Kariakoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…