Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

Duuh... The power of social media.
Kila mtu ana hela. Kila mtu mjanja.
Kila mtu ananunua vitu vyote OG.
Kila mtu tajiri, masikini hawapo.
Kila mtu anavaa viatu vyenye thamani kuanzia 50,000 kupanda juu!!

MATAKO YANGU MIEEEEE MASIKINIIII
Shida ni ulivyoanza na mada yako..........sahivi unaomboleza
 
Hivi faida ya kuvaa viatu original iko wapi hasa?? Kwamba ufahari wa kuonekana umevaa maviatu ya gharama ndefu? Nani kwanza atajua kama umevaa OG au fake ikiwa kwa muonekano havina tofauti.
Wenye hobby hizo, hata mwonekana ni tofauti. Wanaziona na kujua wewe wa kuja tuu
 
Sasa unajivuniaje dini ambayo haikusaidii kuishinda dhambi?
Dawa ya dhambi ni Yesu Kristo. Ukimpokea na kumwamini, anayeyusha kiu ya dhambi ndani yako na kuishi maisha ya ushindi dhidi ya dhambi. Nje ya Yesu Kristo, hakuna dini yoyote duniani itakayomwezesha mwanadamu kuishinda dhambi.
YESU KRISTO ndiye NJIA na KWELI na UZIMA.
 
Safii waambie wakuache hao, kwanza waonyeshe na ile rolex yako waone
 
Mkuu mbona una username ya Kiislamu lakin una preach Ukafiri tena?
 
Hivi mnaomponda jamaa kama hio raba ni fake eti sababu ya bei unahisi upo salama?

kwa ufupi tuu hata haya madude mnayonunua k.koo kwa 75,000-150,000 k.koo sio OG, hii ni Synthetic leather,
Kwahio kama ulikua unadhani ni OG sababu eti unauziwa 150k, imekula kwako,
Kiatu kama hiki Ukipata pure leather au full grain leather bila ya 300k kwenda juu sahau, na kwa hapa bongo Angalau Woolworths waweza ukabahatisha huku kwingine utapata haya👇mazuri kwa sura ila yanaongezeka Size kadiri unavyoyavaa








Kinyume na hapo rudi kwenye
mtumba👇


 
maisha ni kuchagua usiharibu biashara za wengine, na kama una personal issues nao wa consult sio kutaja brand za watu kiboya hivo kwa nchi zinazo jielewa ungewalipa hao jamaa ulio wataja acha mhemko wa kitoto # kazi iendelee
 
maisha ni kuchagua usiharibu biashara za wengine, na kama una personal issues nao wa consult sio kutaja brand za watu kiboya hivo kwa nchi zinazo jielewa ungewalipa hao jamaa ulio wataja acha mhemko wa kitoto # kazi iendelee
Peleka u-mbuzi wako huko.
Kunya unye wewe, kutawaza uje kwangu. Mazfaka.
 
Reactions: Pep
Pale kivukoni kuna earphone za buku ukipanda panton mpaka kigamboni hazifanyi kazi.
 
jeans za vunja bei huwa anauza 10,000 jins hiyo hivyo Sinza na kinondoni wanauza 70,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…