Kariakoo Sasa Majenerator yanaunguruma. Gegegeeee, Dododooo, Gigigiiii

Kariakoo Sasa Majenerator yanaunguruma. Gegegeeee, Dododooo, Gigigiiii

dahaa... kwakweli wametuwezaa
😂😂😂
 
Waziri husika nakutuma, hili nalo mkaliangalie[emoji48], mi5 tena[emoji23][emoji23]
 
Nabado tutaziona kila aina ya rangi na kusikia kila aina ya kelele, V8 zinapaki huku zikinguruma bila shida halafu sisi tuna chomwa na jua kama pasi 🤣 🤣
 
"Harakisha kipindi hiki ndicho cha kuuza mzigo" alisikika mmoja mwenye
1669286442737.png
 
Kuna jenereta zinatoa mlio mpaka zinakera,wataalam walishindwa kabisa kuzifanya ziwe zinapuliza tu kama corolla au carina
 
Back
Top Bottom