Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

Ngapulila

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
841
Reaction score
747
240_F_215033137_tnQnoNXqxy1gr0PyC4YkCQBwYziPhdNQ.jpg
images (31).jpeg
aerial-view-kariakoo-area-dar-600w-1057817912.jpg
aerial-view-kariakoo-area-dar-600w-1057817912.jpg
 
Sio Afrika Mashariki. Nenda pale National Defence College maeneo ya Kunduchi Mtongani, waulize wanachuo hasa toka nje ya Tanzania, kama ukanda wa East, Central & South Afrika kama kuna CBD (Central Business District) inayoizidi Kariakoo!?

Bazazi
 
Sio Afrika Mashariki. Nenda pale National Defence College maeneo ya Kunduchi Mtongani, waulize wanachuo hasa toka nje ya Tanzania, kama ukanda wa East, Central & South Afrika kama kuna CBD (Central Business District) inayoizidi Kariakoo!?

Bazazi
You are right mkuu
download (1).jpeg
images (35).jpeg
images (34).jpeg
images (33).jpeg
 
Tatizo Watanzania mna hulka ya kukusanyika kwenye kitu kimoja, hamjui jinsi gani ya kufanya diversification kama sisi. Hapa Kenya tuna business centres nyingi ambazo kuna uhuru wa kuchagua. Nyie hiyo Kariokoo barabara moja tu ile ya Uhuru basi, pachafu na pamejaa ujanja ujanja tu halafu mnakusanyika nyote humo.

Ona vitu vya Kenya.... vitu largest in East and Central Africa

23-two-rivers-mall-nairobi-kenya-akinyi-adongo.jpg


0fgjhs50pbr1813m.jpg



0fgjhs33r7v9g66hm.jpg





0fgjhs4260bn2fnbk.jpg




0fgjhs759jf3qerkm.jpg



0fgjhs2la2l8gki3ag.jpg



0fgjhs1ik2fuq48vko.jpg



0fgjhs3b0jcikm0s0g.jpg



0fgjhsbp8o66eicae.jpg
 
Tatizo Watanzania mna hulka ya kukusanyika kwenye kitu kimoja, hamjui jinsi gani ya kufanya diversification kama sisi. Hapa Kenya tuna business centres nyingi ambazo kuna uhuru wa kuchagua. Nyie hiyo Kariokoo barabara moja tu ile ya Uhuru basi, pachafu na pamejaa ujanja ujanja tu halafu mnakusanyika nyote humo.

Ona vitu vya Kenya.... vitu largest in East and Central Africa

23-two-rivers-mall-nairobi-kenya-akinyi-adongo.jpg


0fgjhs50pbr1813m.jpg



0fgjhs33r7v9g66hm.jpg





0fgjhs4260bn2fnbk.jpg




0fgjhs759jf3qerkm.jpg



0fgjhs2la2l8gki3ag.jpg



0fgjhs1ik2fuq48vko.jpg



0fgjhs3b0jcikm0s0g.jpg



0fgjhsbp8o66eicae.jpg
Kuna renders za kufa mtu hapa
 
Tofautisha kati ya malls na business centre, Kariakoo ni business centre, wanunuzi tofauti tofauti kuanzia wa hali ya chini hadi wale wakubwa.

Kenya ni nchi ya kibepari haiwajali kabisa watu wa hali ya chini, hayo mapicha hapo yanaonyesha sehemu za kipato cha kati na juu, mkenya wa hali ya chini hawezi kwenda hapo na kuanza kuuza mitumba.

Katika vigezo vinavyoifanya Tanzania kuongeza katika "Economic inclusive index" na Kenya kuendelea kuburuza mkea ni pamoja na hili.
 
Business centre uyu jamaa yeye analeta mall hahaha karikaoo ward yote iko busy sasa yeye analeta mall mbili tatu za kazi gani

Sasa utapost mall ngap imalizane na iyo ward? View attachment 1184569
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
 
Tofautisha kati ya malls na business centre, Kariakoo ni business centre, wanunuzi tofauti tofauti kuanzia wa hali ya chini hadi wale wakubwa.

Kenya ni nchi ya kibepari haiwajali kabisa watu wa hali ya chini, hayo mapicha hapo yanaonyesha sehemu za kipato cha kati na juu, mkenya wa hali ya chini hawezi kwenda hapo na kuanza kuuza mitumba.

Katika vigezo vinavyoifanya Tanzania kuongeza katika "Economic inclusive index" na Kenya kuendelea kuburuza mkea ni pamoja na hili.
Hii picha ni kuhadaa watu nyie.Kariakoo huko Dar ya kweli ni ile wachuuzi wengi zaidi wanauza barabarani ,msongamano na uchafu umejaa na vyumba vingine ni mabati zimechakaa kweli kweli.Hii picha hapa juu watanzania wengi hawawezi kwenda pale they can't afford that side of Kariakoo.
 
Hii Kariakor nimeikubali huwezi fikiri iko ile Dar tunasifiwa kila siku, hapa najua rasha rasha tu kidogo matope kila mahali

images (8).jpeg
images (7).jpeg
images (9).jpeg
 
Back
Top Bottom