taratibu kijana...hilo sio jibu sahihi ...mm namshauri jamaa awe anaenda mara kwa mara kwa ma dentistumepima ukimwi?
senks kwa jibu sahihi. ubarikiwe. aaamen!taratibu kijana...hilo sio jibu sahihi ...mm namshauri jamaa awe anaenda mara kwa mara kwa ma dentist
umepima ukimwi?
kuna siku nitakuja na brifkesi yangu ya afya ndio mtaelewa kwanini nimeuliza hivyo. unajua greti thinkaz tupo wachache sana hapa JF, hata 10 hatufiki.umejiovadozi
chukua hiyo sentensi yako nyekundu hapo halaf changanya na kutoka ma damu midomoni na kaulizie namna ya ukimwi unavyoambukizwa uswahilini halaf rudi kwenye post No.2 by klorokwini katika hii sredi. can you feel the great thinking now?Chunguza miswaki unayotumia, mingine ni migumu inakwangua.
Usile vitu vigumu vitakavyokubidi ung'ate eg muwa.
Angalia na dawa za mswaki unazotumia.
Mswaki nashauri utafute wisdom halafu dawa nunua ile ya forever living product.
Pole ila uende kwa dentist.
kuna siku nitakuja na brifkesi yangu ya afya ndio mtaelewa kwanini nimeuliza hivyo. unajua greti thinkaz tupo wachache sana hapa JF, hata 10 hatufiki.
heheeh nakuja acha nibebe chaki languwapo 10.5 mhadhiri wangu wewe ndio wa point five. Ha ha ha!
Fanya haraka nakusubiri kwenye kipindi.
chukua hiyo sentensi yako nyekundu hapo halaf changanya na kutoka ma damu midomoni na kaulizie namna ya ukimwi unavyoambukizwa uswahilini halaf rudi kwenye post ya pili ya klorokwini katika hii sredi. can you feel the great thinking now?
heheeh nakuja acha nibebe chaki langu
acha niishie hapa. nikiendelea na darasa hapa nitaharib kibarua cha Dr Ndodikhaaa!
Kwahiyo uswazi wana namna zao tofauti za kuambukizwa ukimwi.
Lol!
Haya mpe klorokwin na asprin huyo mgonjwa apone.
ina maana nikuje na ka penseli tu? khaaa! kakikatika kwa bahati mbaya?leo sitaki lichaki lako.
Unaandika moja kwa moja kwenye daftari.
acha niishie hapa. nikiendelea na darasa hapa nitaharib kibarua cha Dr Ndodi
ina maana nikuje na ka penseli tu? khaaa! kakikatika kwa bahati mbaya?
kachongeo kana makali? sio kabutu? haka kapenseli kenyewe jana nimekaandikia mpaka kamepoteza nchahakakatiki utakashika vizuri. Sawa eeh?
Kichongeo kipo.
umepima ukimwi?