dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
Jamani wana jf doctor nisaidieni nisijekuwa kibogoyo.
ninatatiza la fizi kutoka damu hasahasa ninapopiga au nikiyanyonya mate kwanguvu mswaki.
pia meno yangu yoote ya sebuleni (ya mbele) yanatikisika mmno kiasi siku nikijichanganya tu na kumchokoza bansa aka ni pa! mdomoni
yote naya tema.
yani yanatikisika mno kiasi hata nikitumia nguvu kungoa yanatoka.
halafu yanauma. nisaidieni jamani.
ninatatiza la fizi kutoka damu hasahasa ninapopiga au nikiyanyonya mate kwanguvu mswaki.
pia meno yangu yoote ya sebuleni (ya mbele) yanatikisika mmno kiasi siku nikijichanganya tu na kumchokoza bansa aka ni pa! mdomoni
yote naya tema.
yani yanatikisika mno kiasi hata nikitumia nguvu kungoa yanatoka.
halafu yanauma. nisaidieni jamani.