Tetesi: Karibia sehemu zote zenye madini wameshapewa wageni

Tetesi: Karibia sehemu zote zenye madini wameshapewa wageni

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hii sio habari ya udaku.

Ni habari ambayo kila mwenye akili timamu anaweza kuihakiki.

Huko vijijini wawekezaji (wachimbaji) kutoka Asia hasa wachina wametapakaa wakichimba madini.

Kama mjuavyo Wachina walivyo na akili, Mchina anajua madhaifu ya Mtanzania, kuwa ukimwekea pesa kwenye bahasha tu umemfunga kinywa mpaka mikono na miguu. Unaweza kumpa eneo la hekari 5 yeye akajimilikisha hekari 15 zenye madini.

Ukampa kibali cha kuchimba dhahabu yeye akachimba rubi n.k

Ninahisi hawa wachina wametumwa na Taifa lao , serikali huwapa pesa vikundi vikundi na kuwapigania vibali nchi mbalimbali za Afrika ili wakusanye madini.

Viongozi msilale, amkeni.
 
Ndo umesanuka leo..? Wenzako tuko 3420m chini ya ardhi na bado jumbo na bogger zinatinga usiku na mchana
 
Hii sio habari ya udaku.

Ni habari ambayo kila mwenye akili timamu anaweza kuihakiki.

Huko vijijini wawekezaji (wachimbaji) kutoka Asia hasa wachina wametapakaa wakichimba madini.

Kama mjuavyo Wachina walivyo na akili, Mchina anajua madhaifu ya Mtanzania, kuwa ukimwekea pesa kwenye bahasha tu umemfunga kinywa mpaka mikono na miguu. Unaweza kumpa eneo la hekari 5 yeye akajimilikisha hekari 15 zenye madini.

Ukampa kibali cha kuchimba dhahabu yeye akachimba rubi n.k

Ninahisi hawa wachina wametumwa na Taifa lao , serikali huwapa pesa vikundi vikundi na kuwapigania vibali nchi mbalimbali za Afrika ili wakusanye madini.

Viongozi msilale, amkeni.
VIONGOZI WAPI HAO UNAOWAMBIA WAAMKE?
 
Hii sio habari ya udaku.

Ni habari ambayo kila mwenye akili timamu anaweza kuihakiki.

Huko vijijini wawekezaji (wachimbaji) kutoka Asia hasa wachina wametapakaa wakichimba madini.

Kama mjuavyo Wachina walivyo na akili, Mchina anajua madhaifu ya Mtanzania, kuwa ukimwekea pesa kwenye bahasha tu umemfunga kinywa mpaka mikono na miguu. Unaweza kumpa eneo la hekari 5 yeye akajimilikisha hekari 15 zenye madini.

Ukampa kibali cha kuchimba dhahabu yeye akachimba rubi n.k

Ninahisi hawa wachina wametumwa na Taifa lao , serikali huwapa pesa vikundi vikundi na kuwapigania vibali nchi mbalimbali za Afrika ili wakusanye madini.

Viongozi msilale, amkeni.
Ushauri wako ni upi gentlemen
 
Ndicho kitakacho fanya asigombee mwaka huu!

TEC wanapiga kelele sana tangu Bandari!!

Dr slaa kaweka wazi kwamba usalama na jeshi baadhi hawapo tayari kuona hayo yanaendelea kupitia clip!!

chimwaga plus kampeni zitakua ngumu mno!!
 
Ndicho kitakacho fanya asigombee mwaka huu!

TEC wanapiga kelele sana tangu Bandari!!

Dr slaa kaweka wazi kwamba usalama na jeshi baadhi hawapo tayari kuona hayo yanaendelea kupitia clip!!

chimwaga plus kampeni zitakua ngumu mno!!
Kama Dr slaa kasema kuna viongozi wa ulinzi na usalama hawampendi , je, ni nani alimshika huyo Slaa?
Ni kweli anafanya vibaya ila hakuna kiongozi wa chombo chochote cha ulinzi hampendi Samia.
Viongozi wenyewe akili kisoda hivyo kila kitu wanaona sawa tu
 
Kama Dr slaa kasema kuna viongozi wa ulinzi na usalama hawampendi , je, ni nani alimshika huyo Slaa?
Ni kweli anafanya vibaya ila hakuna kiongozi wa chombo chochote cha ulinzi hampendi Samia.
Viongozi wenyewe akili kisoda hivyo kila kitu wanaona sawa tu
Niamini!

Kwa muda mrefu maafisa wamekua kwenye blocks na upande linapokuja swala la ugombea na uchawa!

Dr Slaa anaonyesha wazi kwamba Kuna nyufa kwenye system!hasta kipindi Cha jpm nyufa zilionekana ndio maana hata mikataba kama DP world Ina leak na kuleta frustrations Kwa walioshika hatam!
Kuna team wazalendo,team chawa na team upinzani ndani ya system ndio maana hakuna uwajibikaji was pamoja kwenye baadhi ya maswala ya ki nchi na kitaifa kwanfano jaribio la kuuawa Tundu Lisu inaonekana ni kana kwamba pande mbili za system zilikua zinakinzana kuhusu hatma ya lisu!!!!

Dr slaa anafumbua macho wengi kwenye Ile clip!
 
Back
Top Bottom