Karibu baby sis

Karibu baby sis

Huwa sikisii.

Naona moderator kakurekebishia bichwa lako la habari. Kaona nilichokiona.

Wacha ubishi karekebishe post yako namba 1.
Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?

Hata ukisikiliza Taarabu za zamani mlikua mnaimbana Shoga sijui nini na nini sikiliza usikie
 
Huwa sikisii.

Naona moderator kakurekebishia bichwa lako la habari. Kaona nilichokiona.

Wacha ubishi karekebishe post yako namba 1.

Sikwenda shule za kusomea ujinga.
Sitaki na sibadilishi,Kwa Nini wamedilisha bila kuwasiliana na Mimi?Mimi Natambua haki zangu za kiuandishi, shangazi unajua kama maandiko ya mtu Yana hakimiliki?
 
Lahaja za wapi na wewe nabii wa uongo acha kumpa sifa za uongo shangazi yako....Misamiati inazaliwa, msamiti inakuwa , Misamiati inakufa.....huyo Shangazi yako FaizaFoxy analeta slang za 1974 Hajui lugha ishabadilika hii ni 2024.
nisamehe bure ikiwa nimekukwaza Joannah Mama yangu mpendwa sana....
Mimi mtumishi mnyonge kabisa sistahili kujibu dhihaka yeyote dhidi yangu kwa heshima ninayokupa,
ila daima nitakuombea baraka na neema za Mungu ziambatane na kuandamana nawe daima...
 
Back
Top Bottom