Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?Huwa sikisii.
Naona moderator kakurekebishia bichwa lako la habari. Kaona nilichokiona.
Wacha ubishi karekebishe post yako namba 1.
darasa muzuri sana ya ufahamu na uelewa wa misamiati na lahajaFaidika na darsa la FaizaFoxy:
Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sisy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).
Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sisy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
Haiji.Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?
Sitaki na sibadilishi,Kwa Nini wamedilisha bila kuwasiliana na Mimi?Mimi Natambua haki zangu za kiuandishi, shangazi unajua kama maandiko ya mtu Yana hakimiliki?Huwa sikisii.
Naona moderator kakurekebishia bichwa lako la habari. Kaona nilichokiona.
Wacha ubishi karekebishe post yako namba 1.
Sikwenda shule za kusomea ujinga.
Lahaja za wapi na wewe nabii wa uongo acha kumpa sifa za uongo shangazi yako....Misamiati inazaliwa, msamiti inakuwa , Misamiati inakufa.....huyo Shangazi yako FaizaFoxy analeta slang za 1974 Hajui lugha ishabadilika hii ni 2024.darasa muzuri sana ya ufahamu na uelewa wa misamiati na lahaja
Hahahaha,Hahahaha dahKwa maana nyingine amejianzishia Uzi anajielezea yeye mwenyewe sijasema Mimi lakini
Hahahahaha hapanaNajua umefurahi kumuona mrembo 😁
Hayo yako, siyo yangu.++Yangu ilikuwa ni kuifaidisha jamii kwa darsa dogo, kama kawaida yangu.Kwa maana nyingine amejianzishia Uzi anajielezea yeye mwenyewe sijasema Mimi lakini
Hahahahaha, mmh mdg wako yupi ninaye mpendaWeee nakujua tangu ukiwa na ID yako nyingine Ulikuwa unampenda snap mdogo wangu
Sasa Shangazi ngoja nikugonge swali au we unaonaje?Hayo yako, siyo yangu.++Yangu ilikuwa ni kuifaidisha jamii kwa darsa dogo, kama kawaida yangu.
nisamehe bure ikiwa nimekukwaza Joannah Mama yangu mpendwa sana....Lahaja za wapi na wewe nabii wa uongo acha kumpa sifa za uongo shangazi yako....Misamiati inazaliwa, msamiti inakuwa , Misamiati inakufa.....huyo Shangazi yako FaizaFoxy analeta slang za 1974 Hajui lugha ishabadilika hii ni 2024.
karibuSasa Shangazi ngoja nikugonge swali au we unaonaje?
Asante kwa shule. Sikuwahi kujua hiliFaidika na darsa la FaizaFoxy:
Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).
Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?
Ahsantee kwa somo hili pia.Faidika na darsa la FaizaFoxy:
Kwa msamiati wa "slang" wa Kingereza "sissy" ni mwanamme mwenye mambo ya kidada (shoga).
Hapa unamuongelea mdogo wako wa kiume ambae ni "sissy"? Au wa kike ambae ni "sis"?