Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€Oyooooo!! Babu yangu mimi huyo πππ
Usijali Mjukuu...Tena Bora uje nikufundishe mapema kabla sijaanza kupoteza uwezo wa kuona Kwa UzeeHiyo mitishamba ukija unionyeshe nipate biashara ya kuuzia kizazi kipya nitapiga sana Hela Babu,tatizo ni kubwa mtaani π€£π€£
Kweli Mjukuu anaijua hela π€Babu weekend tuko pamoja.
Umenikumbusha miaka Fulani I dated mtu wa huko...alikuwa haniombi Hela sana japo game nilikuwa napewaπ€£π€£π€£Pesa tamu Babu yangu
Mmmh Ulikuwa dangaπ€£Umenikumbusha miaka Fulani I dated mtu wa huko...alikuwa haniombi Hela sana japo game nilikuwa napewa
Siku akikupiga kizinga kinakuwa cha hela nyingi hadi natamani kukufa...imagine kizinga cha shilingi 100 miaka ile ya 1986 π
Hahaha......umenikumbusha mbali sana Mjukuu hilo nenoEnzi zenu walikuita Buzi babu
Unalia wapi weekend yako ? Nisogee pande hizoBabu weekend tuko pamoja.
HahahahahahaUmenikumbusha miaka Fulani I dated mtu wa huko...alikuwa haniombi Hela sana japo game nilikuwa napewa
Siku akikupiga kizinga kinakuwa cha hela nyingi hadi natamani kukufa...imagine kizinga cha shilingi 100 miaka ile ya 1986 π
π π πHahahahahaha
Eti eeh..Huyo ni mke halali wa Countrywide
Wanashindana na heavyweight, wamefika wapi sasa..