Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 32,639 Reaction score 42,908 Jan 16, 2023 #61 Mzingo said: Mechi ya kirafiki Simba vs Mazembe alifunga goal la tikitaka dakika za 80+ Click to expand... Nguvu moja..πͺπͺπͺ
Mzingo said: Mechi ya kirafiki Simba vs Mazembe alifunga goal la tikitaka dakika za 80+ Click to expand... Nguvu moja..πͺπͺπͺ
Nyamizi Platinum Member Joined Feb 19, 2009 Posts 9,186 Reaction score 13,757 Jan 16, 2023 #62 mito said: Hamna kitu, TP mazembe alikuwa anasugua benchi, kaja kwa mkopo kufufua kipaji Click to expand... Alikuwa anasugua benchi TP Mazembe kumbe?[emoji848].Nikadhani walau wewe una taarifa sahihi kumbe ni wale wale tu
mito said: Hamna kitu, TP mazembe alikuwa anasugua benchi, kaja kwa mkopo kufufua kipaji Click to expand... Alikuwa anasugua benchi TP Mazembe kumbe?[emoji848].Nikadhani walau wewe una taarifa sahihi kumbe ni wale wale tu
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 10,677 Reaction score 11,768 Jan 16, 2023 #63 Restart said: Mama yangu, mimi ni Yanga ila kwa hili Shambuliaji tumekwisha. Atatufunga sana huyu. Kweli mtani kaamua. Click to expand... Naona unajitia kidole na kuamua kunusa mwenyewe!!! Hongera yako.
Restart said: Mama yangu, mimi ni Yanga ila kwa hili Shambuliaji tumekwisha. Atatufunga sana huyu. Kweli mtani kaamua. Click to expand... Naona unajitia kidole na kuamua kunusa mwenyewe!!! Hongera yako.
3ZOV JF-Expert Member Joined Dec 28, 2020 Posts 6,259 Reaction score 7,015 Jan 16, 2023 #64 Mtanzanias said: Alimtangulia alafu akatolewa kwa mkopo arabuni? Angekuwa mzuri si wangembakisha kwenye kikosi, acha bangi Click to expand... Bishana na afsa wenu huyu Attachments 9F1E2315-7AF2-41B3-AE3B-4D84167BB905.jpeg 27.5 KB · Views: 3
Mtanzanias said: Alimtangulia alafu akatolewa kwa mkopo arabuni? Angekuwa mzuri si wangembakisha kwenye kikosi, acha bangi Click to expand... Bishana na afsa wenu huyu