Karibu Jean Baleke

Karibu Jean Baleke

Unaumiaje na galasa kama Hilo asee limefeli kwenye ligi dhaifu vile 😅😜
Pole huyu msimu wa 20/21 alimtangulia bwana ako mayele kwa ufungaji akiwa top scorer na goli 14 pale Congo haya kazana kulia
 
Mama yangu, mimi ni Yanga ila kwa hili Shambuliaji tumekwisha.

Atatufunga sana huyu. Kweli mtani kaamua.
Mkuu upo vizuri unafuatilia hadi ligi ya Lebanon.
IMG_20230115_232602.jpg
IMG_20230115_232822.jpg
 
Msubirini ajeeeee narudiaaa alikuwa anachezea taifa sio simba am yanga ndugu zanguuuniii

nazijua kwa undani kidoooogo msione wageni wanakuja wanaomba kuondokaa awapendiiii wnayokutana nayooo nnsirii zaooo muulizen haruna niyonzima...hao wanaigeria walikuwa moto leo wanaomba kukimbia

hizi tmu ziacheni tu musonda mnaemjua akija ajiopange msishangaee yatakayomkuta..ogopa neno MSUMARI
NI Zaidi ya Uhaiñi...ama uhujumu uchumi
Phiri tiari
 
Pole huyu msimu wa 20/21 alimtangulia bwana ako mayele kwa ufungaji akiwa top scorer na goli 14 pale Congo haya kazana kulia
😅😅😅 Tuko 2023 hata Dejan alikotoka alikuwa bora..
Tupe current data acha kuja na longolongo....

Msonda goal....?
Baleke goal........?
 
Umchore nani mtakusanywa hoya hoya kutoka utopolo

Kwanza Kesho Kuna Jambo Tutawakumbusha Pale Kwa Mkapa Dhidi Ya Ihefu…Af Nyie Tutamalizana April 9.…Af Mwisho Tutaona Nani Atabeba Ubingwa. [emoji41]
 
😅😅😅 Tuko 2023 hata Dejan alikotoka alikuwa bora..
Tupe current data acha kuja na longolongo....

Msonda goal....?
Baleke goal........?
Musonda kwa ligi dhaifu ya zambia? Ambao mosses phiri aliweka utawala wake misimu yote akiwa mfungaji kinara halafu huyo bwanako akiwa na tugoli tumoja au tuwili msimu mzima? Kuwa serious basi we msukule
 
Pole huyu msimu wa 20/21 alimtangulia bwana ako mayele kwa ufungaji akiwa top scorer na goli 14 pale Congo haya kazana kulia
Mkuu punguza basi. Hizo data za magoli 14 alivyokuwa Tp Mazembe unazo? Hapa inaonesha kacheza mechi tano akiwa Tp Mazembe na ana goli 0
IMG_20230115_233419.jpg
 
Musonda kwa ligi dhaifu ya zambia? Ambao mosses phiri aliweka utawala wake misimu yote akiwa mfungaji kinara halafu huyo bwanako akiwa na tugoli tumoja au tuwili msimu mzima? Kuwa serious basi we msukule
Tupe za huyo Baleke huko alikokuwa amefunga gori ngapi😜😜.....
 
Back
Top Bottom