sipo huko kwa ajili hiyo bt nina marafiki wa kufaa hukoHuko Mocospace umeshaopoa mzungu?
sipo huko kwa ajili hiyo bt nina marafiki wa kufaa huko
hongera mkuu list yako pia nzuriJF
Quora
Tumblr
Twitter (Sababu ya Kigogo, Maria Tsehai na Fatma Karume)
ebhana eeeh ume nikumbusha mbali sanaaaa hui kitu cha mocospaceHuko Mocospace umeshaopoa mzungu?
hongera mkuuJamii Forums
Telegram
Quora
Google inaniunganisha na blogs na news outlets kama War History Online, The Buzz, National Interest, War is Boring, The Drive, EurAsian Times, Haaretz, Southfront, Simple Flying, The Aviationist na nyingine kibao za muhimu. Hizi ndo hutumia muda wangu mwingi kwa ujumla.
Instagram huwa naingia wambea wakileta story za madada wa mjini. Twitter kwa uchache. Hizi naingia kutokana na influence ya JF
quora ni platform ambayo watu mbali mbali huuliza maswali na upatiwa majibu yakinifu uzuri wa quora ni kwamba kuna watu wa taaluma mbalix2 toka sehem tofaut duniani na wenye profile za maana tu kwa hyo tegemea kukutana na vitu Konki mule hakuna wazee wa buku7 kuleHiyo Quora na Pinterest zinahusu nn hasa?
hongera mkuuJf
Jf
Titktok
Jaf
hongera mkuu1.jamiiforum
2.bluelight
3.facebook
hongera sana mkuu, mi hudhani naipenda jf kuliko watu wote kumbe wapo wanaonizidiJf
Jf
Jf
Jf
Jf