kauzu mimi
Member
- May 30, 2023
- 8
- 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WaTanzania tunafeli sana kwenye namna ya kutangaza bidhaa zetu, na chaajabu unaweza kuta unabidhaa nzuri na uhitaji ni mkubwa sana.Kwa mahitaji ya uduvi safi kwaajili ya chakula ya kuku piga
+255679903535
Karibu sana.
Inasikitisha sana....😑Weka location na bei yake
Hata chakula cha binadamu kuku hulahiko ni chakula cha kuku?
sisi tunakula ugali
mh ni kufuru ase jmn kukuHata chakula cha binadamu kuku hula
Kwahiyo si vibaya ku share na kuku
Location: Dar es salaam.Weka location na bei yake
Tusaidie cp( kwenye kg 1 ya uduvi tuna protini asilimia ngapi) ya uduvi? Ili tudadavue kipi ni kipi kati ya dagaa, uduvi na soya.....yaani fanya katangazo kako kakae kisayansi design hivKwa mahitaji ya uduvi safi kwaajili ya chakula ya kuku piga
+255679903535
Karibu sana.
Teheeee apo kwenye sayansi sasa usije mkimbiza mfanyabiasharaTusaidie cp( kwenye kg 1 ya uduvi tuna protini asilimia ngapi) ya uduvi? Ili tudadavue kipi ni kipi kati ya dagaa, uduvi na soya.....yaani fanya katangazo kako kakae kisayansi design hiv