Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mambo CAsilimia 98% watafuta wenza JF ni ID mpya, ndio hawahawa wenyeji wa humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ww ndo unakazia😭😭Nyundo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshaeleza hapo juu kuwa aliye serious tutawasiliana inbox, na ndivyo inavyofanyika sasaweka sifa zako pia boss usije ukawa na jicho moja, halafu wenzio ndo unawawekea masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakujua wewe siyo kibonge....ila haupo serious
Kwaiyo unanipenda hivi hivi sio?Nakujua wewe siyo kibonge....ila haupo serious
Ahaha ngoja niwe serious[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]. Nenda mama ushapendwa mpaka hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee una mambo wewe but point yako ni njema sanaKwann suala la kupima HIV hamlipi nguvu??
Aminn nawambia Vijana wenzangu. Ukimwi upo wana ,upo na unaua. Unaua kuanzia ile siku ya kwanza umeambiwa upo na tatizo.
Mbaya sasa, ni ile kila siku kunywa madawa..
Kama iyo haitoshi. Haya madawa yanawafanyaga wanaota ndoto za ajabu ajabu. Mtu anaota anakimbizwa na kibwengo , sijui anatafunwa na simba..mara yupo kwenye shimo kubwaaaa limejaaa damu ,mara amekimbia we ghafla dunia ikaanza kutikisika.
The Devil puts a spoonful of honey into neighbor's Wife
Aisee swala gumu sana ndugu yangu.Wa mtaani na wa humu si walewale au au wa humu ni Maroboti? Halafu why bothering too much of non of your business? MTU unashinda Love connect kukatisha tamaa watu je tukikuuliza na we we umeitwa na nani humu utasemaje? Au sasa unataka kuwapangia watu wa JF majukwaa kama haya wayafutee.Wewe Soma ya huku waachie wenyewe wapo wanaenjoy.Umri wako utakuwa zaidi ya 40 yrs hapo ushaoa hata mara 2 na kuacha, huko mtaani huwaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app