Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ubaya wa hizi tuzo sio endelevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani hupendi kuja kuwa mke...?Jamani...sa mambo ya wife material yametoka wapi hapa. Kenzy bana😂. Mi hata staki vurugu leo nina raha kama zote
Hajui kuimba, anatembelea nyota ya AyraTems baby.
Labda kama utanioa wewekwani hupendi kuja kuwa mke...?
umeolewa ama una mchumba...??Labda kama utanioa wewe
Nipo singleumeolewa ama una mchumba...??
sawasawa basi kuanzia leo wewe ni mchumba wangu!.. vipi umekubali..?Nipo single
Ndio bebisawasawa basi kuanzia leo wewe ni mchumba wangu!.. vipi umekubali..?
sitaki ugomvi dr.Hajui kuimba, anatembelea nyota ya Ayra
usijali basi baadae nitakuja pm na ratiba nzima ya jinsi yakulana vizazi!..Ndio bebi
Sawa mumeusijali basi baadae nitakuja pm na ratiba nzima ya jinsi yakulana vizazi!..
mtu yoyote kuanzia sasa akikusumbua niambie mimi nishughulike nae wewe ni mke wangu.
Jamaa walidai kafungwaEwaa, yuko wapi yule mwamba!?
Nilisoma humu katoka, au alifungwa tena?Jamaa walidai kafungwa
Kwa mfano kama Davido msanii yupo kwenye kipengele cha tuzo, huyo anahusika vipi na hiyo ccm yako chief?Mods futeni huu Uzi,
wasanii wenyewe ndo hawa hawa wanaoisifia CCM ni upuuzi tu hizo pongezi watapewa kwenye hafla zao za Kizimkazi festival pumbavu.
Umeongelea kipengele kimoja tu ila vipengele vingi vilivyobaki huwezi kuwakosa hao waimbaji machawaKwa mfano kama Davido msanii yupo kwenye kipengele cha tuzo, huyo anahusika vipi na hiyo ccm yako chief?
Change start with youSasa huna cha kuwapa zaidi ya shukrani mzee afu usumbue watu kupiga kura.
Hao wasanii wenyewe hiyo jf hawana accounts, hata ukiwapa maua yao si ajabu yasiwafikie.
Okay but may be you not "you" as me.Change start with you