Karibu kwenye saluni ya jf

Duh asante, kuna salon moja pale ubungo opposite na hostel za madent kuna dada mmoja anatokea tanga ni balaa, haki ya nani wanaume kaz tunayo
hahahaha utatukimbizia wateja bhana.
Nalog off
 
Walileta oda warembo nane,ila bosi kanihamishia kitengo cha kunyoa,idara MAALUM!
Hapo ni mwendo wa kusaidiana tu kama unaweza kumsaidia kusuka basi unawasuka tu ili mradi usimvute tu lol.
Nalog off
 
Washawasha nilisahau kidogo,
hivi ile huduma ya kukandwa kandwa je?
Huduma hiyo inapatikana na bei hutegemea mahala unapotaka kukandwa na pia hupanda na kushuka kutegemea na umbile lako,ukiwa bonge bei inakuwa juu tofauti na mwembamba.
Nalog off
 
kwa kweli huwa napata mapokezi mazuri sana pale saloon, na huwa napendezeshwa kwelikweli, nikitoka hapo lazima waniulize nawasaidia sana kutangaza biashara
Ni kweli kabisa miss wa kinyaru huwa anaitangaza vizuri sana saluni yetu hii na saa yoyote kuanzia sasa tutamfanyia bonge la party la kusherehekea sikukuu yake ya kuzaliwa.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…