Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
sisi tunanyoa hata wabeba cocaine tumboni,ili mradi helawlikuwa kama wanagugumia hivi,labda walitoka kubeba mizgo mizto cc Lady doctor Excellent!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisi tunanyoa hata wabeba cocaine tumboni,ili mradi helawlikuwa kama wanagugumia hivi,labda walitoka kubeba mizgo mizto cc Lady doctor Excellent!
Heee itakua wamefiwa lol.
wlikuwa kama wanagugumia hivi,labda walitoka kubeba mizgo mizto cc Lady doctor Excellent!
​yap!!all z gud my dear!!sawa pacha ake wii wangu............
I hope ALL is Well
Pole sana...yeah nilifiwa na kuku wangu ambae niliplan kumla wkend hii, so sad kwa kweli
Pole sana...
Wapiga matarumbeta wakiwapokea wateja wetu jumapili hii
![]()
Nalog off
Baadhi ya wateja waliosukwa leo hii na msusi maarufu farkhina,Hahahahahahaha weka na zile picha za wateja wetu lol....muweke na Lady doctor waone nilivomsuka vzr kapendeza sana
we unaonekana mzee wa kunyoa afro
Kimenuka hahahahaha,walinzi wakimtoa nje ya saluni mteja aliyetaka kunyolewa bure.
farkhina Excellent Lady doctor Madame B FaizaFoxy,walijionea live sakata hili.![]()
Nalog off
Kimenuka hahahahaha,walinzi wakimtoa nje ya saluni mteja aliyetaka kunyolewa bure.
farkhina Excellent Lady doctor Madame B FaizaFoxy,walijionea live sakata hili.![]()
Nalog off
ni kweli kabisa itanibidi nilitafute hilo bango.hahahaaa......... Anapenda vya burebure huyo, itabidi utafute yale mabango, ya mkopo kasafiri lol!
Waheshimiwa kibao huwa wanakuja kunyoa hapa saluni kwetu.Hii saluni kiboko...kumbe ndo anakoenda kunyoa huyu Mh Sugu