Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
I mith yuu thana thana
mith u too shost
ila ubusy umepungua utaniona
kwa sana tu naw days!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I mith yuu thana thana
Ukisutwa tunakutoa nje...usutwe peke yako maana wasutaji wa siku hizi wanakuja na vanga..
​avute tu lakni kuhama sihami ng'ooooo!!Basi msusi wetu farkhina atakuwa anakuvuta sana ikifika zamu yako,maana yeye haupendi umbea.
Nalog off
wla usijali kuhusu hilo farkhina
mi mzoefu kwny kusutwa,nilishasutwa
mpaka na u.p.u.pu wala sijauskia kama unawasha!!
​avute tu lakni kuhama sihami ng'ooooo!!
​hapoooo sasa!!Hahahaa si nakusuka vzr utahama wapi lol
hahahah si ndio nawashangaa mlivyokuwa na mpango wa kuniharibia biashara yangu!haya haya nakuletea bana ila angalia Washawasha asijesema tunachakachua biashara yake ya salon
Karibuni Saloon yetu ''Saloon ya JF".....hawa ndo walionyoa hii weekend....kutoka kushoto ni figganigga snowhite....babu Asprin mpaka anaonekana kijana sosoliso naye kavaa miwani Judgement anaonekana kashapiga tungi ila bado kapendeza Baba V kapiga miwani ili amtege mimi49,mwoshoni Mr Rocky kala pozi baada ya kunyolewaBaadhi ya matozi waliokuja kunyoa Ijumaa ya leo.
![]()
Nalog off
Wazee wa kazi wametulia.Karibuni Saloon yetu ''Saloon ya JF".....hawa ndo walionyoa hii weekend....kutoka kushoto ni figganigga snowhite....babu Asprin mpaka anaonekana kijana sosoliso naye kavaa miwani Judgement anaonekana kashapiga tungi ila bado kapendeza Baba V kapiga miwani ili amtege mimi49,mwoshoni Mr Rocky kala pozi baada ya kunyolewa
Karibuni Saloon yetu ''Saloon ya JF".....hawa ndo walionyoa hii weekend....kutoka kushoto ni figganigga snowhite....babu Asprin mpaka anaonekana kijana sosoliso naye kavaa miwani Judgement anaonekana kashapiga tungi ila bado kapendeza Baba V kapiga miwani ili amtege mimi49,mwoshoni Mr Rocky kala pozi baada ya kunyolewa
wapo wanaosuka,kwani hujui wanaume wa kimasai wanasuka na kutengeneza dreds?
mi si masai siwezi kukaa paja nje ila nanyoa na kutengeneza rasta,,,,,nasikia unata usuke rasta za kwapaso na wewe ni mmasai, sio?
Tusubiri wahusika walionesha hiyo channel O watakuja kutupa majibu,ila kwa mawazo yangu nafikiri wanamaanisha CCM OYEEE!Hivyo vidole wanatengeneza alama ya 0 ni ishara ya nini Washawasha?
ishara za kufurahia hudumaHivyo vidole wanatengeneza alama ya 0 ni ishara ya nini Washawasha?
ishara za kufurahia huduma