ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mbeya imeanza kunoga ,wahi Ujipatie Kuku la Shilingi Laki 7 za Kitanzania.
Fungua videoWapi picha ya huyo kuku?
Funguo ndiyo shidaFungua video
Umesikiliza video? Muuzaji alinunua Laki 4Laki Saba za Zimbabwe labda,maana sijaona maajabu yoyote,ya hao kuku,labda kilo zao,so kuliko ntoe 700k kwann nisinunue broiler 10 Kwa buku 5@??
Kama alipigwa ndio anadhani atapiga?Umesikiliza video? Muuzaji alinunua Laki 4
Si bora kununua mbuzi 4 ?Mbeya imeanza kunoga ,wahi Ujipatie Kuku la Shilingi Laki 7 za Kitanzania.
Fungua video hii hapa chini kuona hao kuku 👇
View attachment 2700595View attachment 2700596
Maisha ni kupangaSi bora kununua mbuzi 4 ?
Tunataka kufahamu kesi Mbeya imeishia wapi leo?Mbeya imeanza kunoga ,wahi Ujipatie Kuku la Shilingi Laki 7 za Kitanzania.
Fungua video hii hapa chini kuona hao kuku 👇
View attachment 2700595View attachment 2700596
Sasa unamuuliza nani? Waulize wanaofuatiliaTunataka kufahamu kesi Mbeya imeishia wapi leo?
Si ndiyo nimewauliza hivyo.Sasa unamuuliza nani? Waulize wanaofuatilia
We dada mbona unapenda utata jamanSi ndiyo nimewauliza hivyo.
Kuuliza jambo la Kitaifa ni utata?We dada mbona unapenda utata jaman
Upepo umeanza kuvuma kama enzi za mayai ya kwareWapi picha ya huyo kuku?