Karibu mgeni Tanzania Commercial Bank. Benki ya Biashara ya serikali

Hii Benki ndio itakuwa ya kutakatisha fedha
 
Bank zingine zitegemee kubanwa mbavu kisawasawa.
Kama govt possibly ikaweka garama ndogo mno za huduma kiasi bank zingine zikaondoka zenyewe bila hata kufukuzwa.
 
Daah

Kuna yule mkurugenzi wa TADB nadhani anaitwa Japhet J naona kila benki anayohamia inakufa au ina merge. Kila mwaka anahama alianzia UBA nadhani, akaenda TWB ikafa sasa kaenda huku TADB nako wana merge. Muoneeni huruma jamani

kama kweli hiyo benki itaanzanishwa nna hakika CEO wa TPB atapewa ukurugenzi maana ilibaki robo awe CEO wa CRDB
 
Ajira zinakufa kila kukicha hao hao waling'ang'ania kuuza NBC enzi hizo.
Yaani nchi za kiafrika tabu tupu
 

Japhet hajawahi fanya kazi UBA!
 
Bujibuji, Huu muungano utafanya wengne wapunguzwe kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naona zitaongezeka kwasababu itawalazimu kufungua matawi nchi nzima na kuboresha zaidi huduma. Mfano Posta kuna sehemu wana vi-matawi vidogooo kama ka kichochoro tu,ikiunganishwa naamini itakwenda kwenye Wilaya zote hivyo lazima watendaji waongezeke.

macson
 
Tayari Bank ya Posta ina matawi wilaya zote Tanzania
 
Nina uhakika 110% kuwa hiyo bank itauzwa na Rais ajae (ikitokea Rais huyo atakuwa na akili za kawaida).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…