Karibu mgeni Tanzania Commercial Bank. Benki ya Biashara ya serikali

Karibu mgeni Tanzania Commercial Bank. Benki ya Biashara ya serikali

Point yangu ni kuwa may be all government transactions now itakuwa through this new bank. Manake NMB walibebwa sana na government transactions
Lazima watu walambishwe sakafu
NMB Bank Plc Stock Ownership
Rank Name of Owner Percentage Ownership
1 Rabobank of theNetherlands 34.9
2 Government of Tanzania 31.8
3 Private Investors via DSE 25.0
4 National Investment Company Limited (NICOL) 6.6
5 TCCIA Investment Company Limited 1.7
6 TOTAL 100.0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kisha bank zote zitaletewa zengwe
refer biashara ya ndege
Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.

Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.

Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.

Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.

Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.

Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.

Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
Hii itakuwa safi sana!
 
Bujibuji,
NBC waliiuza sasa wanaunda nyingine, akija Rais mwingine nae ataiuza
NBC haikuuzwa, ABSA hawakutoa hata senti moja kuinunua NBC. TZS 11 billion zilizoinunua NBC Ni NMB ambao walizitoa.
Miongoni mwa vitu vya kipumbavu alivyowahi kufanya Mr. Clean ni hili sakata na NBC na ABSA
 
NBC haikuuzwa, ABSA hawakutoa hata senti moja kuinunua NBC. TZS 11 billion zilizoinunua NBC Ni NMB ambao walizitoa.
Miongoni mwa vitu vya kipumbavu alivyowahi kufanya Mr. Clean ni hili sakata na NBC na ABSA
Sijakuelewa inamaana NMB ilikuwepo kabla NBC haijauzwa?
Huwa nikiangalia majengo ya NBC maeneo mbalimbali ya nchi naumia sana
 
Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.

Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.

Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.

Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
Kama ambavyo tunalazimishwa watumishi wa umma kuwa line za TTCL ndivyo tutakavyolazimishwa kuwa na account kwenye hili Benki la kifisadi, na tunalazimishwa mishahara yetu ipite huko
 
Serikali imerudi kwa kasi kwenye Biashara mbalimbali, na Sasa inakuja na Benki kubwa ya kibiashara Tanzania ambapo itamilikiwa kwa 100% na serikali.
Benki itaenda kwa jina la Tanzania Commercial Bank.

Inatokana na kuunganishwa kwa Benki ya Posta, Tanzania Postal Bank, Tanzania Investment Bank na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania, Tanzania Agricultural Development Bank.

Mchakato unafanyika kimyakimya chini ya uratibu wa Bank of Tanzania.

Kaeni tayari kwa hiki kitu kipya.
Kama ambavyo tunalazimishwa watumishi wa umma kuwa line za TTCL ndivyo tutakavyolazimishwa kuwa na account kwenye hili Benki la kifisadi, na tunalazimishwa mishahara yetu ipite huko
 
Back
Top Bottom