the bidhaa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 268
- 761
- Thread starter
- #21
Hiyo sina mkuu imeisha imebaki hiyo ya mita 2.5 kwa m2.5Ukubwa wa mita 8 hivi urefu na upana wa mita 4 au 5 unayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sina mkuu imeisha imebaki hiyo ya mita 2.5 kwa m2.5Ukubwa wa mita 8 hivi urefu na upana wa mita 4 au 5 unayo?
Mkuu unaijua mikeka unayoongelea lakini?,au umeamua kuandika tu Ili nawe uonekane unajua kukosoa?Ila JF kuna aina flani ya ushamba au ulimbukeni. Hayo madude yanauzwa 12000/ hata huku vijijini sembuse huko kwenu daslama?
Kama ni hiyo kwenye hizo picha niliijua kabla hujazaliwa labda uwe unaongelea mikeka ya mawe. Acheni kuibia watu kwanza mambo yatulie.Mkuu unaijua mikeka unayoongelea lakini?,au umeamua kuandika tu Ili nawe uonekane unajua kukosoa?
daah mkuu sio poa kuharibu ugali wa mtu hiyo ni roho ya kimaskini siupite kimyaKama ni hiyo kwenye hizo picha niliijua kabla hujazaliwa labda uwe unaongelea mikeka ya mawe. Acheni kuibia watu kwanza mambo yatulie.
Sio roho ya kimaskini mkuu pesa nyakati hizi lazima ilindwe ndani na hata nje ya mifuko. Hatutaki ujingadaah mkuu sio poa kuharibu ugali wa mtu hiyo ni roho ya kimaskini siupite kimya
Shukran sana mkuu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sio roho ya kimaskini mkuu pesa nyakati hizi lazima ilindwe ndani na hata nje ya mifuko. Hatutaki ujinga
linafulika vizur mkuu kwa kufuta kutumia kitambaa chenye maji maji au hata brashi halafu unaanikaukitaka kufua inafulikaje? lokesheni yako ipi
Mkuu inapatkana wapi hii mikeka kwa hiyo bei uliyotaja ya 12000?,nisaidie location tuKama ni hiyo kwenye hizo picha niliijua kabla hujazaliwa labda uwe unaongelea mikeka ya mawe. Acheni kuibia watu kwanza mambo yatulie.
Njoo ilyamchele chato....mingi mno ukitaka nikupe namba ya jamaa awe anakulanguza hata kwa 9000/. UhakikaMkuu inapatkana wapi hii mikeka kwa hiyo bei uliyotaja ya 12000?,nisaidie location tu
Sawa shukran,,mi mzigo nachkulia Uganda,,kuna gharama ya ushuru kwa kila mkeka,kusafirisha kila mkeka had Dar ndo maana bei inakua hiyo,Kariakoo hiyo mikeka inauzwa elf35 had 40,Mimi nauza 30elf.Hivyo unavyoharibu biashara yangu inaonekana ni jinsi gan ulivo na roho ya kwanini.Njoo ilyamchele chato....mingi mno ukitaka nikupe namba ya jamaa awe anakulanguza hata kwa 9000/. Uhakika
Sasa ushamba wa Jf ni upi hapo?. Mwisho wa siku wewe ndio umeonyesha live ushamba wako. Itakuwa umevurugwaIla JF kuna aina flani ya ushamba au ulimbukeni. Hayo madude yanauzwa 12000/ hata huku vijijini sembuse huko kwenu daslama?
Asante mkuu, huyo jamaa ni mshamba kweri kweri[emoji38]Sasa ushamba wa Jf ni upi hapo?. Mwisho wa siku wewe ndio umeonyesha live ushamba wako. Itakuwa umevurugwa
Naaam inafaa sana mkuu,karibu napatikana KigamboniNadhani kwa kuswalia inafaa sana
HuoNaaam inafaa sana mkuu,karibu napatikana Kigamboni