Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Damu ya Mwangosi itaendelea kumlilia hadi mwishoNaona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.
Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM
Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Hivi huyu bwana Huwa mnampa airtime kubwa hivi unguli wake Huwa ni upi hasa?Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.
Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM
Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Wasira analazimisha tu. Timu yenyewe ndo inaundwa sasa.Jasusi m-bobezi anarudi ,huyu kakulia mikononi mwa lowasa na kikwete na mkapa kiasa na kikazi ngoja tuone
Nilikuwa nashangaa ccm inamtegemea WASIRA kweli kurekebisha mwelekeo wa upepo (msoga hongereni)
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
CCM ni dubwana likubwa mnoKaja kuokoa lichama lao lilopoteza mvuto🤣may b atachukua nafasi ya mjema.
Kivipi?Damu ya Mwangosi itaendelea kumlilia hadi mwisho
Kwa mujibu wa akili yako au?? Mi huwa nashangaaga sana watu kama huyu anayecomment kwamba hao ni wana mikakati. Wakatibwote rekodi zao ni failures.Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Ogopa sana watu wanaopewaga nafasi ya Campaign Manager pale CCMHivi huyu bwana Huwa mnampa airtime kubwa hivi unguli wake Huwa ni upi hasa?
Humjui Kinana. Endelea kumuona ivo ivo tu.Kwa mujibu wa akili yako au?? Mi huwa nashangaaga sana watu kama huyu anayecomment kwamba hao ni wana mikakati. Wakatibwote rekodi zao ni failures.
Kinana na Kikwete chama kiliwafia mkononi 2015..walishindwa kukiendesha chama na nchi na walishindwa kuwaweka pamoja wanaccm.
Huyo Kinana alicheza vibaya kete zake ye na kina Kingunge. Akaongoza mapinduzi mbele ya mwenyekiti wake kikwete wakati huo.
Sijui kama ye na kikwete kwa sasa wanakaa meza moja.
Nchimbi hajui kuongea ni Domo zege huo u campaign manager alikuwa anafanyaje?Ogopa sana watu wanaopewaga nafasi ya Campaign Manager pale CCM
Anzia na kinana aliyekuwa Campaign Manager wa Mkapa, Kikwete na akaja kumuingiza Magufuli 2015 na huyu Nchimbi aliyekuwa Campaign Manager wa Lowassa kipindi anafanya vuguvugu CCM.
Raised by Mtandao to take mikoba ya Kinana. The Master of Tz Politics
sema CCMTanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Kwenye kujenga hoja Nchimbi yuko vizuri sana.Nchimbi hajui kuongea ni Domo zege huo u campaign manager alikuwa anafanyaje?
Kwa mara ya kwanza anagombea ubunge Songea Mjini akichukua nafasi ya Mzee Gama,sio tuu alikuwa hawezi kuongea Bali alikuwa anatetemeka hajui kujenga hoja na back those days alikuwa anasaidiwa na mkwe wake yaani Mzee Makamba.
Nafahamu vizuri huyo mtu ni looser tuu.
Miaka yote kakaa Brazil wenzie wanatengeneza connection za Diplomasi ya uchumi yeye yupo yupo tuu kama furushi,kiufupi huyo anatembelea Nyota ya ukoo hana lolote.
Achana na mtu anaitwa Kinana. Huyo hadi Mr Slim Kagame anamkubali vibaya sanasema CCM
Mmeshaanza udini!Ukipitia hii orodha ya mabalozi utagundua pattern fulani uwakilishi za Kiislamu na nyinginezo
Hao wote wezi wa kura, tena wanaiba kwa mbinu zile zile outdated, chawa umedumaa akili.Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Waliibaje?Hao wote wezi wa kura, tena wanaiba kwa mbinu zile zile updated, chawa umedumaa akili.
Nchimbi hajui kuongea ni Domo zege huo u campaign manager alikuwa anafanyaje?
Kwa mara ya kwanza anagombea ubunge Songea Mjini akichukua nafasi ya Mzee Gama,sio tuu alikuwa hawezi kuongea Bali alikuwa anatetemeka hajui kujenga hoja na back those days alikuwa anasaidiwa na mkwe wake yaani Mzee Makamba.
Nafahamu vizuri huyo mtu ni looser tuu.
Miaka yote kakaa Brazil wenzie wanatengeneza connection za Diplomasi ya uchumi yeye yupo yupo tuu kama furushi,kiufupi huyo anatembelea Nyota ya ukoo hana lolote.
Mbinu zao outdated chawa huzijui, au unajidai kuzisahau makusudi baada ya kuhamia huko?Waliibaje?