Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sisi wakaazi wa jiji la Dar es Salaam tupo tayari kukupokea na kukupa ushirikiano ndugu Chalamila.
Wana Dar es salaam tunaweza kuchangia mapato ya Serikali kwa kiulaini sana kupitia kupiga tungi a.k.a gambe. Unaonyesha utaiweza sana Dar es Salaam kwani wana Dar wengi wao ni wanachama wenzako na wanafuata falsafa zako za kunywa sana bia.
Karibu sana mwenyekiti mtaafu wa CCM.
Wana Dar es salaam tunaweza kuchangia mapato ya Serikali kwa kiulaini sana kupitia kupiga tungi a.k.a gambe. Unaonyesha utaiweza sana Dar es Salaam kwani wana Dar wengi wao ni wanachama wenzako na wanafuata falsafa zako za kunywa sana bia.
Karibu sana mwenyekiti mtaafu wa CCM.