Karibu sana Jangwani Sekhwela Seroto, Mtaalam wa Tiba ya Viungo (Physiotherapist)

Karibu sana Jangwani Sekhwela Seroto, Mtaalam wa Tiba ya Viungo (Physiotherapist)

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
20240712_150615.jpg
 
Hawa ma physiotherapist hata hapo KCMC wanapatikana kwa wingi tena vijanq wana mpaka basics za physical fitness za JKT kwanini hatuthamini vya kwetu?

Mfano Azam idara ya afya wazungu wote
Wao hao ma Physio wanasemaje!?je wamekuwa wakiomba hizi nafasi!? au wanangoja ziwafate,maana hata kwenye debate shuleni walilazimishwa kuongea.
 
Back
Top Bottom