Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Experience,exposure na connections.Hara huvyo ccm hakuna mtu serious.Wore no wapuuzi ma mashetaniHawa ma physiotherapist hata hapo KCMC wanapatikana kwa wingi tena vijanq wana mpaka badics za physical fitness za JKT kwanini hatuthamini vya kwetu?
Mfano Azam idara ya afya wazungu wote
Kweli kabisaHawa ma physiotherapist hata hapo KCMC wanapatikana kwa wingi tena vijanq wana mpaka badics za physical fitness za JKT kwanini hatuthamini vya kwetu?
Mfano Azam idara ya afya wazungu wote
Wao hao ma Physio wanasemaje!?je wamekuwa wakiomba hizi nafasi!? au wanangoja ziwafate,maana hata kwenye debate shuleni walilazimishwa kuongea.Hawa ma physiotherapist hata hapo KCMC wanapatikana kwa wingi tena vijanq wana mpaka basics za physical fitness za JKT kwanini hatuthamini vya kwetu?
Mfano Azam idara ya afya wazungu wote
Kwani kazi ya Physiotherapist kwenye hizo club ni kwa ajili ya fitness ?Wa bongo wanawapa wachezaji mazoezi wanakua wazito kama tembo
Kwani kazi ya Physiotherapist kwenye hizo club ni kwa ajili ya fittness ?