Karibu Tanga Bi Mkubwa, hapa ndio nyumbani kwa wadigo na wabondei, hapa ndio nyumbani kwa wasambaa na wazigua

Mtaendelea kuwa masikini wajinga wakubwa nyie, kutwa kukata viuno na mapenzi
Mjinga ni wewe chookoor wa TL....

Hao watanzania wanaijua thamani kubwa ya amani ,utulivu na usalama wa nchi hii unaosimamiwa na chifu mkuu wa machifu Mh.Rais SSH.....

Amka bweeegeer wewe
 
Wewe itakuchukua milenia kuwa na akili za mtoto wa miaka 15....

Ninyi pingepingeni tu.....wenzenu safari "inagwa" hiyooo....

Kamanda umeshamchangia mwenyekiti TL ?!! aaa kamanda changa bwana....
Dada angu usichukie Tanga ilipaswa iwe mbali sn, bandari ya kwanza Tanga, shule ya kwanza Tanga, Reli ya kwanza Tanga, lakini bado ni maskini sababu ya ujinga wenu wa kukumbatia CCM. Mmebaki kuvaa shanga na kukata viuno wajinga wakubwa nyie
 
wapuuzi wakubwa nyie mtabaki kuvaa shanga tu huku mali zinasombwa na Tanga inazidi kuwa masikini
Mimi siko Tanga mkuu....kwa ujinga ulionao unadhani ninatetea maslahi ya mkoa....mimi ni kijana mzalendo ninayelipenda taifa hili na watu wake wote....popote walipo nitswasemea kwani ninajua vyema historia na thamani ya nchi hii na si wewe chookoor wa CDM.....

Kamanda tumchangie mwenyekiti kwa kweli ana hali ngumu kiuchumi kamandaaa
 
Wewe dada angu nani hakujui kama upo Tanga? pole sn endeleeni kuwa masikini sababu ya ujinga wenu.
 
Dada angu usichukie Tanga ilipaswa iwe mbali sn, bandari ya kwanza Tanga, shule ya kwanza Tanga, Reli ya kwanza Tanga, lakini bado ni maskini sababu ya ujinga wenu wa kukumbatia CCM. Mmebaki kuvaa shanga na kukata viuno wajinga wakubwa nyie
Siko Tanga kamanda naelekea jimboni kwa mh.Tundu Lissu alikoshindwa kukuletea maendeleo muda wote aliokuwa mbunge wao.....bora Nusrat Hanje alichukue tu kamanda.....

Kamanda tukichangie chama kina shida ,watu wa Tanga hawana shida kamanda.....
 
Siko Tanga kamanda naelekea jimboni kwa mh.Tundu Lissu alikoshindwa kukuletea maendeleo muda wote aliokuwa mbunge wao.....bora Nusrat Hanje alichukue tu kamanda.....

Kamanda tukichangie chama kina shida ,watu wa Tanga hawana shida kamanda.....
Tanga mmekalia mapenzi pekee wajinga wakubwa nyie
 
karibu sanaTanga , jiji safi , karibu kwetu , naona shamra shamra hapa ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…