Karibu Tanga Bi Mkubwa, hapa ndio nyumbani kwa wadigo na wabondei, hapa ndio nyumbani kwa wasambaa na wazigua

Dada angu usichukie Tanga ilipaswa iwe mbali sn, bandari ya kwanza Tanga, shule ya kwanza Tanga, Reli ya kwanza Tanga, lakini bado ni maskini sababu ya ujinga wenu wa kukumbatia CCM. Mmebaki kuvaa shanga na kukata viuno wajinga wakubwa nyie

Uko sahihi kabisa @ Ben.
Mimi ni M-TA asili lakini sitaki kuwa biased katika kukataa ukweli unaosema.
Yatupasa kubadili namna yetu yabkufikiri ili tutoke tulipo Kwama KW a miaka mingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…