Karibu tanzania nchi isiyoisha matukio na watu wake wanaendeshwa kwa matukio

Karibu tanzania nchi isiyoisha matukio na watu wake wanaendeshwa kwa matukio

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kicheko na kilio havifanini japo zote hali za hisia 0.KARIBU TANZANIA Nchi isiyoisha matukio na watu wake wanaendeshwa kwa matukio(mitandao) kila mtu anajua yaani mchumi atakupa habari au sheria za utabibu na mwanasheria atakuambia mambo ya uchumi. Leo hili kesho lile na kila mtu anajifanya kastaarabika.
 
Back
Top Bottom