Karibu Tanzania, nchi pekee ambayo...

Martin BM

Member
Joined
Jul 2, 2020
Posts
16
Reaction score
22
TIRIRIKA hapo chini kwa Mambo na majambo ya watanzania na vituko vyao.

Mimi naanza hiviiiiii

"Ambako watu hununua bundle ili wapost Kama hawako vizuri kiafya badala ya kununua dawa".
 
Inajenga bwawa kubwa la kufua umeme litakalozaliza 2000MW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…