IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA.
Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote toka CCM akijiandaa kuja kulitetea jimbo letu la Tarime!
Maswali tunayoweza kujiuliza hapa je wanaogopa tafrani huko Tarime?
Wasiwasi wangu je hii demokrasia inayotumika ina mshiko?
Angalizo mama Anna asisahau kuwa hawa wapinzani wana mchango mkubwa pale Bungeni?
Mama anna asisahau kuwa hao anaotaka wasirudi kule bungeni ndiyo nguvu yake.
Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote toka CCM akijiandaa kuja kulitetea jimbo letu la Tarime!
Maswali tunayoweza kujiuliza hapa je wanaogopa tafrani huko Tarime?
Wasiwasi wangu je hii demokrasia inayotumika ina mshiko?
Angalizo mama Anna asisahau kuwa hawa wapinzani wana mchango mkubwa pale Bungeni?
Mama anna asisahau kuwa hao anaotaka wasirudi kule bungeni ndiyo nguvu yake.