Karibu Tarime mama Kilango 2010

Karibu Tarime mama Kilango 2010

IsayaMwita

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2008
Posts
1,127
Reaction score
140
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA.

Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote toka CCM akijiandaa kuja kulitetea jimbo letu la Tarime!

Maswali tunayoweza kujiuliza hapa je wanaogopa tafrani huko Tarime?

Wasiwasi wangu je hii demokrasia inayotumika ina mshiko?

Angalizo mama Anna asisahau kuwa hawa wapinzani wana mchango mkubwa pale Bungeni?

Mama anna asisahau kuwa hao anaotaka wasirudi kule bungeni ndiyo nguvu yake.
 
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA.

Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote toka CCM akijiandaa kuja kulitetea jimbo letu la Tarime!

Maswali tunayoweza kujiuliza hapa je wanaogopa tafrani huko Tarime?

Wasiwasi wangu je hii demokrasia inayotumika ina mshiko?

Angalizo mama Anna asisahau kuwa hawa wapinzani wana mchango mkubwa pale Bungeni?

Mama anna asisahau kuwa hao anaotaka wasirudi kule bungeni ndiyo nguvu yake.
Huo ndio ukweli. Maana hata hayo anayoongelea bungeni na yakampandisha chati yameletwa humo na wabunge wa upinzani na wao "wapambanaji ndani ya CCM" wakadandia kwa kasi ya ajabu.
 
Huo ndio ukweli. Maana hata hayo anayoongelea bungeni na yakampandisha chati yameletwa humo na wabunge wa upinzani na wao "wapambanaji ndani ya CCM" wakadandia kwa kasi ya ajabu.

Chakaza,
Ni kweli lakini kuna kila sababu kulijua hili je ni haki mama Ana ana mtizamo uliyo hai? ama ni mgema akisifiwa t............!!!!
 
Ndugu zangu wana Jf nachukua fursa kumkaribisha mama yetu hapa Tarime kwani nimeona anaweza kufanya kila kinachowezekana kulitwaa jimbo hili mikononi mwa CHADEMA.

Nimeamua kulisema hili kwani kwa kile mama kilango alichokisema kuwa 2010 atakuwa pale Moshi sasa basi sijasikia mwanasiasa yoyote toka CCM akijiandaa kuja kulitetea jimbo letu la Tarime!

Maswali tunayoweza kujiuliza hapa je wanaogopa tafrani huko Tarime?

Wasiwasi wangu je hii demokrasia inayotumika ina mshiko?

Angalizo mama Anna asisahau kuwa hawa wapinzani wana mchango mkubwa pale Bungeni?

Mama anna asisahau kuwa hao anaotaka wasirudi kule bungeni ndiyo nguvu yake.

Huyu mama anachofanya ni kupima kina cha maji. Amepima maji ya moshi akaona anauwezo wa kusema aliyo sema, japo naona hya maji yatamchukua kwani ailipima pembeni ni si kwenye kina kirufu, sasa amejitupa ndani ya maji, tusubiri matokeo.

Kwa upande wa tarime, hasije kabisa akathubutu, atarudi same kwa miguu bila kandambili. Tarime si moshi ambako anauhusiano wa damu. kule ni mikuki,pinde manati atavstahimili?
 
Sidhani kama mama anaogopa mikuki, wasiwasi wangu ni kuwa mbona anataka kutokomeza demokrasi hii inayoanza kuchipuka hapa Tanzania?
 
anatafuta nishani ya CCM

Ulimbo

Sidhani kama utakuwa sahihi ukisema hivyo, ila hoja ya msingi ya kutaka kuwang'oa wapinzani ina mshiko(maslahi) kwa watanzania?
 
Sidhani kama mama anaogopa mikuki, wasiwasi wangu ni kuwa mbona anataka kutokomeza demokrasi hii inayoanza kuchipuka hapa Tanzania?

Ametonywa kuwa Slaa akiwa raisi atashghurikia mafisadi wote halafu mama Simba kamkumbusha kuwa na yeye ni fisadi. Alichokosea mama simba ni kuwa ametumegea kidogo tu kati ya yale wanayoyajua ya huyu mama.

Mimi nakwambia huyu mama atatumika sana mwaka huu atakoma kuwanyoshea vidole wenzake kabla ya kutubu ya kwake
 
anatafuta nishani ya CCM

Huyu mama anatafuta sifa tu. Hakuna kingine hakuna mabadiliko yoyote aliyoleta ndani ya CCM, wala kwa wapiga kura wake ila anataka Mrisho amwone mwakani ubunge wa kuteuliwa akishindwa. Kumbukeni ana kadi ya njano, anaogopa almashauri kuu kupitishwa kugombea kwa hiyo anajipendekeza kwa chama chake.
 
Ametonywa kuwa Slaa akiwa raisi atashghurikia mafisadi wote halafu mama Simba kamkumbusha kuwa na yeye ni fisadi. Alichokosea mama simba ni kuwa ametumegea kidogo tu kati ya yale wanayoyajua ya huyu mama.

Mimi nakwambia huyu mama atatumika sana mwaka huu atakoma kuwanyoshea vidole wenzake kabla ya kutubu ya kwake

Shalom;

Shalom;hapa hoja si kutumika , mimi wasiwasi wangu ni kuwa je huyu mama ameweza kutambua kuwa haya yote anayoyasema amepata nguvu toka kwa wapinzani?
 
Huyu mama anatafuta sifa tu. Hakuna kingine hakuna mabadiliko yoyote aliyoleta ndani ya CCM, wala kwa wapiga kura wake ila anataka Mrisho amwone mwakani ubunge wa kuteuliwa akishindwa. Kumbukeni ana kadi ya njano, anaogopa almashauri kuu kupitishwa kugombea kwa hiyo anajipendekeza kwa chama chake.

Orche; Mimi ningetamani kama mama Anna angekuwa mzalendo na si kusukumwa na hisia zake, ajaribu kupima nyakati na si udhanifu, anapofikia maha;li akawa anatishia wabunge wapinzani kuwa atawapora ubunge naona si sahihi, mimi nadhani yeye ana jimbo lake, na CCM si yeye tu, la Hasha yawezekana kavaa kofia ya uenyekiti wa chama kwa sasa.
 
anatafuta nishani ya CCM

Hiyo si kweli ila hoja hapa ni kwamba je yuko tayari kuitetea Demokrasia hii ya Tanzania au ilikuwa ni kelele ili kuendeleza udikteta wa ccm? Tazama kama angekuwa Mzalendo wa kweli nadhani angekuwa tayari kuona Upinzani ukikua ila yeye anachokifanya wenye akili tunajua.

Nadhani kuna kila sababu Mama anna aje hapa Tarime, ajifunze kuwa sisi watanzania tunataka nini.
Namkumbuka sana MTIKILA Nadhani tangu ametoka Tarime na siasa zake chafu zimekwisha

Simuombei mabaya ila aje tu 2010 apate kujifunza kutoka kwetu.

Mungu ibariki Tanzania,

Mungu kinusuru kizazi kijacho na haya wasiokuwa wazalendo
 
I.mwita,
Hawapo CCM? Jimboni?
nani wapo na wana ajenda gani?
nipo kinondoni dar!

Sura-ya-Kwanza
Na ndiyo maana nimekuambia ukija hapa jimboni kwa kupitia tiketi ya ccm uatakuwa Mbunge wetu, karibu Sura-ya-Kwanza
 
😀
Sura-ya-Kwanza
Na ndiyo maana nimekuambia ukija hapa jimboni kwa kupitia tiketi ya ccm uatakuwa Mbunge wetu, karibu Sura-ya-Kwanza

Sitaki tiketi!
Nipeni kura-na siyo ya CCM!
😀😀
I am not a politician! Siasa, haswa siasa, siasa-siyo kigezo cha maendeleo Tarime!

Nitaweza kuwasaidia watu hapa Tarime pale watu wa Tarime watakapo kubali kuwa uzalendo ni wa "Watanzania" na Ujamaa mamboleo upo! sina kanga, sina soda!

naelewa uozo uliopo!
 
Ninavyoona mimi Moshi katumwa na Mengi, Nani atamfadhili Tarime?
 
Kabla hamjamzungumzia Mama Anna wa Kilango wa Malecela tafuteni kwanza HISTORIA yake tangu alipokuwa Shule ya Sekondari ndipo mtamjua ni MSANII WA KIWANGO GANI? Huyu Mama hana lolote ni mbabaishaji wa hali ya juu.

Halafu kuna Gezati moja la kila siku MWANANCHI lilinikasilisha sana. Wakati maafa yametokea kule Same, sasa badala ya kumuuliza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mkuu wa Wilaya ya Same, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Same ambao walikuwa kwenye tukio eti wanamuuliza Mana Kilango wa Malecela ambaye alikuwa Musoma ili aweze kuzungumzia hali ikoje kwenye tukio la watu kufunikwa na udongo. Huu ni ubabaishaji wa HALI YA JUU WA MAMA KILANGO WA kutumia magazeti ili aonekane kwamba anauchungu na wananchi.
 
Back
Top Bottom